CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
<br />
<br />
Mwanaume km bishanga mie hapana tutatoana macho bure
si umesema hutaki mpole?
<br />
<br />
Mwanaume km bishanga mie hapana tutatoana macho bure
Lakini pia kuna issue ya kuwa mkweli. Wapo wanaosema honest is honest and the truth is the truth. Kuwa mkweli inaweza kuwa brutal vilevile or loving kutegemeana na attitude ya mtu anayeambiwa. Wapo wanawake wanaopenda kuujua ukweli in gentle way. Wengine just like men to spit the truth out. Na hii inaconfuse sana wanaume b'se some women get mad at them either way.
Lizzy uliomba comments toka kwa kina dada tu ,nisamehe bure mi uzalendo umenishinda wacha nipasue jipu.Wengine tukiongea humu huwa tunaambiwa eti tunatetea mfumo dume kumbe na ninyi wenyewe kina mama mnataka baba awe mkali na sio mpole.Mnaona sasa? Mina nina kesi nyingi za baba wapole ambao wameishia kuumizwa na wake zao.Upole upole huu unasikia mama kamzaba mzee vibao,mara kammwagia maji ya moto,mara kampiga na kitu kizito,na kibaya zaidi kina baba wa namna hii huwa wanaficha kinachowasibu na wakiulizwa wanasema 'walianguka kwenye ngazi'akichomwa na maji ya moto anasema ndoo ya maji ilimuangukia etc.Ndo mana bana mi nasema na nitarudia kusema MWANAMKE KULA NAYE,LALA NAYE,OGA NAYE,CHEKA NAYE LAKINI WAKATI WOTE ACHA MACHO YAKO WAZI!!!!!
Kumbe una sweet mwingine???
Unaniingiza choo cha mbuzi najiona??
<br />si umesema hutaki mpole?
:A S-heart-2::busu:busu:busu I am:car: baby..
Shem CPU acha kunisingizia, when did i say sina sweetie.... Usimfanye upole ukaisha ....Please....
<br />
<br />
Asha hebu andika jina poa K mmmhh
Mi ni shem wako kwa nani??
Acha kunizibia riziki banaaa
Pamoja na compatibility nadhani kinachomatter zaidi ni compromise. Sidhani kama kuna mwanamke anayependa kuolewa na kuishi maisha yake yote na mume mlevi. It is because of compromise that maisha yanaenda. Uhusiano bila compromise hauendi. Binadamu wote sio sawa. Pia kumbuka you are from Venus, we are from Mars. We just met at the Earth.
C ndio namuona kavu halafu namtia chakaJe akitoa hongo ya mapenzi kwaajili yako utamuelewa??
Mi ni shem wako kwa nani??
Acha kunizibia riziki banaaa
Duh!!! I thot wewe na K ni wanandugu.... Alafu sitaki kupambanishwa hapa si nyumbani kwako wewe???
Good, started to have doubts.....
<br />
<br />
Bishanga mnyanyasaji anayesema sijaweka tofali kwenye nyumba yake?
:ranger::ranger::ranger:
Usife bana bado tunakuhitaji<br />
<br />
Ha ha ha ha nimecheka mpaka nataka kufa
nothing to worry about sweetie,,,now will you get me a cup of coffee, please? had a long day, wanna get ma senses back
Duh!!! I thot wewe na K ni wanandugu.... Alafu sitaki kupambanishwa hapa si nyumbani kwako wewe???
Mmmmmh... I smell trouble and i dont like it at all......