Upole!!

UNAJUA NYIE MABINTI MNA MAtatizo sana, mwanamke ukimpenda kupita kiasi na ukiwa mpole sana kwake anakuita *****,zobalangu n.k.na anaweza kukuletea bwana mwingine hivihiviiiiiiiii. ukiwa mkali kila cku unampa kichapo anapokosea,mnasema mnanyanyaswa, ukiwa haueleweki wakati mwingine unakuwa mkali sana wakati mwingine mpole, utasikia oooh, hili bwana langu hata silielewi, sijui lLINANIPENDA KWELI? WALA HALIELEWEKI, MIM "I PREFER TO BE UNPREDICTABLE"

Amen!!
 
Hivi kuolewa ni lazima hadi mtu kufikia kukunja makucha kwa makusudi ili tu kuolewa?

imani za kuolewa ni bahati ndio zinasababisha amambo yote hayo, mie nashukuru uchizi tulionyeshana mapema so mbeleni mambo yanasonga kama ifatavyo, na nashukuru pia kuwa na huyu kichwa maji coz ningempata mpole nadhani ningekuwa cfurahii maisha aisee.
 
Mi niko poa dear....hopefully na wewe uko shwari kabisa!!

Yani uliyoandika ndo haswaaa nnachomaanisha!!
Unakuta mtu hata ukikosea anaogopa kukwambia....kil akitu kinahusu kukufurahisha wewe..ukinuna kidogo tu hata kama wewe ndo umekosea basi anaanza kukubembeleza!!Ntaishia kuboreka mpaka mwisho!

Mi ukinuna tu huyoo natiririka kuelekea baa!
 
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!

Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!

Michango tafadhali.....
kimsingi me ni mpole kwa asili ( hata mama yangu anajua) lakini kwa upole huu nimejifunza mengi, japo huwa sioni kama mpole ila unashangaa wanasema yule kaka anaonekana mpole
***changes are inevitable****** thanks a lot
 
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!

Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!

Michango tafadhali......

Kama ni mpole ipa sio mzembe naona powa tu. Ila walau awe ananichekesha kwa jokes tusije kuborekana.
 
Back
Top Bottom