Upole!!

Upole!!

Lizzy,

Sikutaka kuharibu post ya ndugu yangu Bishanga Bashaija (Maswahibu huwakuta wanaume wa kweli).....Ukisoma vizuri post yake utaona nilichotaka kusema.

Tatizo ni kwamba binadamu ni kiumbe wa hovyo sana. Akila chips kuku kila siku atalaani tu...wakati huo anayekula kauzu kila siku anajiandaa kuasi. Na umri wangu huu hata sijui ni kitu gani ukimtendea binadamu kitaonekana kizuri..

Mimi najitahidi kuwa mimi...Labda bibi siku moja ataweza kuja kueleza mimi ni mtu wa namna gani! Vinginevyo nabaki kinywa wazi mdogo wangu.. Hata hivyo ukikua utayaona, kuyashuhudia na mwishowe utakuwa kungwi wa uhakika!!

Mzee DC
Asante mzee DC.....najifunza taratibu!
 
Kikubwa kwenye uhusino ni matching tu (compatibility). Jaribu kuangalia couples ambazo zinahuhusiano wa kudumu lazima utakuta wana tabia opposite, mmoja akiwa mlevi, mwingine hanywi, mmoja mzungumzaji - mwenzie mkimya, maisha yanaenda. Sasa kuta wote waongeaji ndo unakuta wakianza zogo mpaka mtaa wa tatu.
 
Wapi sasa???Nwy popote pale bado nakusikiliza....

okey . . . labda si wakat wake
ngoja niendelee kupata mawaiza ya akina babu mzee DC na mzoefu Bishanga . . .
 
mie kumtest demu wangu huwa nachonga deal na polisi wanikamate na bangi halafu nampigia cmu nimuone je atawezaje kuja kuongea na polisi ili waniachie
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kikubwa kwenye uhusino ni matching tu (compatibility). Jaribu kuangalia couples ambazo zinahuhusiano wa kudumu lazima utakuta wana tabia opposite, mmoja akiwa mlevi, mwingine hanywi, mmoja mzungumzaji - mwenzie mkimya, maisha yanaenda. Sasa kuta wote waongeaji ndo unakuta wakianza zogo mpaka mtaa wa tatu.

Pamoja na compatibility nadhani kinachomatter zaidi ni compromise. Sidhani kama kuna mwanamke anayependa kuolewa na kuishi maisha yake yote na mume mlevi. It is because of compromise that maisha yanaenda. Uhusiano bila compromise hauendi. Binadamu wote sio sawa. Pia kumbuka you are from Venus, we are from Mars. We just met at the Earth.
 
mie kumtest demu wangu huwa nachonga deal na polisi wanikamate na bangi halafu nampigia cmu nimuone je atawezaje kuja kuongea na polisi ili waniachie
Je akitoa hongo ya mapenzi kwaajili yako utamuelewa??
 
<br />
<br />
Umeanza lini kusoma ktkt ya misitari?

Usiwe mwepesi kusahau mamii wangu
Mwaka '93 wakat na-graduate std 7 ulunipa usia gani wakat najiandaa na pepa?
 
mie kumtest demu wangu huwa nachonga deal na polisi wanikamate na bangi halafu nampigia cmu nimuone je atawezaje kuja kuongea na polisi ili waniachie
<br />
<br />
Ha ha ha ha nimecheka mpaka nataka kufa
 
Je akitoa hongo ya mapenzi kwaajili yako utamuelewa??

umemuweka kwenye kona nzuri kweli na hili swali. Umenikumbusha siku ambayo kidogo nimchape polisi ambaye alinikamata kwa kosa la kutembea usiku na dada angu. Waliongezeka wawili muda mfupi na kutukamata. Wakatupeleka kituoni, mimi wakanisweka ndani, sista wakawa wanaongea nae kaunta. Walimuomba rushwa ya ngono sista ili watuachie
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom