Upo wapi Anneth Benidicta?

Upo wapi Anneth Benidicta?

Haha watu wanafunguka mmoja baada ya mwingine..

Aisee itabidi na mimi nianzishe mada niitafute mamsi yangu ya shule ya msingi 😂
 
Kama ulichoandika hapa kina ukweli na siyo changamsha genge basi haya ni matumizi mabaya ya mitandao.

Ulimwengu huu zipo njia nyingi sana ya kumsearch mtu kimyakimya kuliko njia hii unayotumia.

Wewe utajisikia vipi siku hapa JF atokee njemba na uzi wake wa kumsaka mpenzi wake wa zamani ambaye ndio mke wako?

Punguzeni upumbavu.
imeniumq sana, mana huyu Aneth ndio mkewangu sasa.
 
Hi!

2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana,
Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea.

Ulinichagua katika ya wanaume wengi walionizidi sifa za kihadhi, kifedha na hata kielimu.

Popote Ulipo Anastazia Benedicta jua Michael bado anakupenda,

Ulikuwa unaishi Kwa Aunt yako pale Kwenye Kota za mapolisi Moshi mjini, Nyumba yenu ilikuwa mkabala na uwanja wa mashujaa wa pale Moshi mjini.

Nimekumbuka mara ya mwisho tulivyokutana mida ya saa mbili chini ya lile sanamu la mwanajeshi pale uwanja wa mashujaa. Mpaka leo nakumbuka Marashi yako mpaka hivi leo.

Ile zawadi uliyonipa nimeitunza mpaka Leo Kama ukumbusho.

Anneth popote Ulipo nakuomba ujitokeze. Kama kuna mtu humu anamjua Aneth aliyekuwa anaishi na Aunt yake pale Kota za polisi uwanja wa mashujaa naomba amtaarifu Mick ninamtafuta Sana.

Aneth nakupenda Sana. Hata kama umeolewa, sitajali, ninachotaka nikuone roho yangu ipumzike jamani
Nenda pale kota mcheki anti mwambie aseme aneth alipo
 
Anaitwa Anastasia Benidicta Ila alikuwa anapenda nimuite Aneth, Nimemkumbuka Sana Mpenzi wangu.

Popote Ulipo Aneth, nakuomba ujitokeze, najua umeolewa lakini nataka nikuone tuu roho yangu itulie
Maisha yamekupiga kwa kukosa pesa na maradhi unamtakia nini? Pambana na hali yako kaolewa yuko kinondoni Dar es salaam

Mumewe mwanajeshi kikosi cha anga
 
Maisha yamekupiga kwa kukosa pesa na maradhi unamtakia nini? Pambana na hali yako kaolewa yuko kinondoni Dar es salaam

Mumewe mwanajeshi kikosi cha anga
Hivi wewe hunaga jema?
Una msongo wa mawazo?
Halafu wewe mlokole gani?
 
Nami nimemkumbuka X wangu Rosemary mtoto wa Kichagga mweupee uliyekuwa unaishi pale Buza Kanisani,nimekukumbuka kama upo nyoosha kidole nikuone roho yangu iridhike
 
Yna2 popote ulipo ., hata kama umeolewa nikikuona nafasi yangu itasuuzika , nakumbuka mara ya mwisho tulikutana....... 😅😅😅😅
 
Vijana wa leo ni shida.
Unakumbukaje masufuria ya nyama ya "utumwani" Misri!!???
Huku ni kuchawiana kama alivyoandika ndugu Matola .
 
Anaitwa Anastasia Benidicta Ila alikuwa anapenda nimuite Aneth, Nimemkumbuka Sana Mpenzi wangu.

Popote Ulipo Aneth, nakuomba ujitokeze, najua umeolewa lakini nataka nikuone tuu roho yangu itulie
Akijichanganya tu, ndoa yake kwishaaa
 
Hi!

2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana,
Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea.

Ulinichagua katika ya wanaume wengi walionizidi sifa za kihadhi, kifedha na hata kielimu.

Popote Ulipo Anastazia Benedicta jua Michael bado anakupenda,

Ulikuwa unaishi Kwa Aunt yako pale Kwenye Kota za mapolisi Moshi mjini, Nyumba yenu ilikuwa mkabala na uwanja wa mashujaa wa pale Moshi mjini.

Nimekumbuka mara ya mwisho tulivyokutana mida ya saa mbili chini ya lile sanamu la mwanajeshi pale uwanja wa mashujaa. Mpaka leo nakumbuka Marashi yako mpaka hivi leo.

Ile zawadi uliyonipa nimeitunza mpaka Leo Kama ukumbusho.

Anneth popote Ulipo nakuomba ujitokeze. Kama kuna mtu humu anamjua Aneth aliyekuwa anaishi na Aunt yake pale Kota za polisi uwanja wa mashujaa naomba amtaarifu Mick ninamtafuta Sana.

Aneth nakupenda Sana. Hata kama umeolewa, sitajali, ninachotaka nikuone roho yangu ipumzike jamani
Aise Anastazia ameolewa na Boss mmoja mtu mzito sana maeneo ya Shant Town. Juzi nilikutana nae Dar Street pale alikuja kukagua Lodge yao.. Msahau tu
 
Back
Top Bottom