Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
😂😂😂No thank you,, sihitaji hata kujadili hayo,,Hahaha inategemea huenda uliacha mume wako kizembe.
Ujue pia sio kila ex ni ex
😂😂😂No thank you,, sihitaji hata kujadili hayo,,Hahaha inategemea huenda uliacha mume wako kizembe.
Ujue pia sio kila ex ni ex
Badi bhana shikilia mpiniNo thank you,, sihitaji hata kujadili hayo,,



Yakiwashinda huko mnakopiga magoti mkivika pete mnawakumbuka maeksi, na bado



tulizana mama waache akina Kondeboy waendelee kulialiaKama ulichoandika hapa kina ukweli na siyo changamsha genge basi haya ni matumizi mabaya ya mitandao.
Ulimwengu huu zipo njia nyingi sana ya kumsearch mtu kimyakimya kuliko njia hii unayotumia.
Wewe utajisikia vipi siku hapa JF atokee njemba na uzi wake wa kumsaka mpenzi wake wa zamani ambaye ndio mke wako?
Punguzeni upumbavu.

imeniumq sana, mana huyu Aneth ndio mkewangu sasa.Nenda pale kota mcheki anti mwambie aseme aneth alipoHi!
2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana,
Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea.
Ulinichagua katika ya wanaume wengi walionizidi sifa za kihadhi, kifedha na hata kielimu.
Popote Ulipo Anastazia Benedicta jua Michael bado anakupenda,
Ulikuwa unaishi Kwa Aunt yako pale Kwenye Kota za mapolisi Moshi mjini, Nyumba yenu ilikuwa mkabala na uwanja wa mashujaa wa pale Moshi mjini.
Nimekumbuka mara ya mwisho tulivyokutana mida ya saa mbili chini ya lile sanamu la mwanajeshi pale uwanja wa mashujaa. Mpaka leo nakumbuka Marashi yako mpaka hivi leo.
Ile zawadi uliyonipa nimeitunza mpaka Leo Kama ukumbusho.
Anneth popote Ulipo nakuomba ujitokeze. Kama kuna mtu humu anamjua Aneth aliyekuwa anaishi na Aunt yake pale Kota za polisi uwanja wa mashujaa naomba amtaarifu Mick ninamtafuta Sana.
Aneth nakupenda Sana. Hata kama umeolewa, sitajali, ninachotaka nikuone roho yangu ipumzike jamani
Paulina Kironde nakutafuta, mara ya mwisho tuliachana urusi kwa putiniKwa speed hii na mimi nitaleta uzi wangu wa kumtafuta Sylvia.
Unaumia nini ukioa mke asievutia wengine ni garasha wee furahi una mke mzuriimeniumq sana, mana huyu Aneth ndio mkewangu sasa.


Maisha yamekupiga kwa kukosa pesa na maradhi unamtakia nini? Pambana na hali yako kaolewa yuko kinondoni Dar es salaamAnaitwa Anastasia Benidicta Ila alikuwa anapenda nimuite Aneth, Nimemkumbuka Sana Mpenzi wangu.
Popote Ulipo Aneth, nakuomba ujitokeze, najua umeolewa lakini nataka nikuone tuu roho yangu itulie
Sasa hapo SIRIUS kwa mbele kidogo ndio aneth alipoMkuu nipo Sirius, fanya msaada tafadhali
Hivi wewe hunaga jema?Maisha yamekupiga kwa kukosa pesa na maradhi unamtakia nini? Pambana na hali yako kaolewa yuko kinondoni Dar es salaam
Mumewe mwanajeshi kikosi cha anga
Akijichanganya tu, ndoa yake kwishaaaAnaitwa Anastasia Benidicta Ila alikuwa anapenda nimuite Aneth, Nimemkumbuka Sana Mpenzi wangu.
Popote Ulipo Aneth, nakuomba ujitokeze, najua umeolewa lakini nataka nikuone tuu roho yangu itulie
Aise Anastazia ameolewa na Boss mmoja mtu mzito sana maeneo ya Shant Town. Juzi nilikutana nae Dar Street pale alikuja kukagua Lodge yao.. Msahau tuHi!
2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana,
Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea.
Ulinichagua katika ya wanaume wengi walionizidi sifa za kihadhi, kifedha na hata kielimu.
Popote Ulipo Anastazia Benedicta jua Michael bado anakupenda,
Ulikuwa unaishi Kwa Aunt yako pale Kwenye Kota za mapolisi Moshi mjini, Nyumba yenu ilikuwa mkabala na uwanja wa mashujaa wa pale Moshi mjini.
Nimekumbuka mara ya mwisho tulivyokutana mida ya saa mbili chini ya lile sanamu la mwanajeshi pale uwanja wa mashujaa. Mpaka leo nakumbuka Marashi yako mpaka hivi leo.
Ile zawadi uliyonipa nimeitunza mpaka Leo Kama ukumbusho.
Anneth popote Ulipo nakuomba ujitokeze. Kama kuna mtu humu anamjua Aneth aliyekuwa anaishi na Aunt yake pale Kota za polisi uwanja wa mashujaa naomba amtaarifu Mick ninamtafuta Sana.
Aneth nakupenda Sana. Hata kama umeolewa, sitajali, ninachotaka nikuone roho yangu ipumzike jamani