MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,480
Bila kupoteza muda, nazipongeza timu zetu Yanga na Simba kwa kuingia kwenye hatua muhimu ya robo fainali
Kimsingi, timu hizi zimeonesha uwezo mkubwa na hayo yote yanachangiwa na upinzani na utani wa jadi uliopo baina ya timu hizi mbili
Hakika, kwa sasa hizi ndiyo timu zakuigwa ndani ya Africa Mashariki
Tunaomba waendelee na upinzani na utani huo mzuri wa jadi mpaka hapo moja ya timu hizi mbili zitakpofaninikwa kuleta kombe nyumbani
Kila la kheri kwa Yanga na Simba
Kimsingi, timu hizi zimeonesha uwezo mkubwa na hayo yote yanachangiwa na upinzani na utani wa jadi uliopo baina ya timu hizi mbili
Hakika, kwa sasa hizi ndiyo timu zakuigwa ndani ya Africa Mashariki
Tunaomba waendelee na upinzani na utani huo mzuri wa jadi mpaka hapo moja ya timu hizi mbili zitakpofaninikwa kuleta kombe nyumbani
Kila la kheri kwa Yanga na Simba