franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Hizi timu za Simba na Yanga zipate matokeo au zikose siku zote lawama Ni Kati ya hizi:
1.Upangaji matokeo
-Utaskia wale wameshinda kwa sababu timu waliocheza nayo wamewapa kiasi fulani Cha pesa au mchezaji fulani kapewa kibunda ndio maana wameshinda!
2.Refa kauza mechi
-Hawa ndio wanapokea lawama, wakichezesha hizi timu za kawaida Ni fresh tu no lawama, ila kwenye mechi za Simba/Yanga Ni lawama hasa pale hizi timu mbili zinapocheza na timu nyingine na kupata matokeo tofauti na ushindi
MY TAKE
-Kuondoa Hivi vyote natamani ligi yetu iendelee kukua na kupata wawekezaji wenye Nia kubwa, na kuleta challenges kwa hizi timu mbili,
Na siku tukifika level hiyo tayari U Simba/Yanga utaisha na hata timu yetu ya taifa itakuwa Bora Sana.
1.Upangaji matokeo
-Utaskia wale wameshinda kwa sababu timu waliocheza nayo wamewapa kiasi fulani Cha pesa au mchezaji fulani kapewa kibunda ndio maana wameshinda!
2.Refa kauza mechi
-Hawa ndio wanapokea lawama, wakichezesha hizi timu za kawaida Ni fresh tu no lawama, ila kwenye mechi za Simba/Yanga Ni lawama hasa pale hizi timu mbili zinapocheza na timu nyingine na kupata matokeo tofauti na ushindi
MY TAKE
-Kuondoa Hivi vyote natamani ligi yetu iendelee kukua na kupata wawekezaji wenye Nia kubwa, na kuleta challenges kwa hizi timu mbili,
Na siku tukifika level hiyo tayari U Simba/Yanga utaisha na hata timu yetu ya taifa itakuwa Bora Sana.