Upinzani kuzoa viti vingi vya ubunge na udiwani 2020

Kwa sasa vyama vya upinzani vinapita katika TANURU la MOTO katika kutengenezwa kushika dola 2020.

Ushindi wa CDM kule Mbeya katikakati ya ngome ya CCM,CDM ilipata ushindi.Hapakuwa na vurugu yoyote ile na uchaguzi ulikuwa huru na wahaki. Tusipende kulazimisha vitu.Watu waachiwe kuchagua kile wanachokipenda.RC wa Mbeya ameitendea haki nafasi yake ya uongozi na tunashukuru hata CCM wamelikubali hilo.Nina uhakika Uchaguzi ukiwa huru na wa haki CCM kuna maeneo inakubalika itashinda kwa haki, hivyo hivyo na vyama vya upinzani.

Msitishwe na hii Hama Hama kwani wote hao kabla ya kuja upinzani walikuwa CCM. Kwahiyo wanarudi nyumbani kwao.Kuna shida gani mtu kurudi nyumbani kwao. Tuwe wakweli kama suala in kumuunga mkono RAIS hilo sina shida nalo.Cha msingi ni wewe Diwani unapokuwa umechaguliwa haijalishi uko upinzani au chama tawala mbele ya waliokupa kura unafanya kazi chini ya serikali iliyoko madarakani kwa sababu diwani hana budget yake bali niya serikali kwahiyo kujiuzulu kwa kusema unaunga mkono huo ni UONGO wa MCHANA KWEUPE.VIVA CHADEMA VIVA CUF VIVA ACT WAZALENDO
Angalia Sana. Mwanaume kuota ndoto mchana utachafua Shuka!
 
Wewe
Na hii iliyopo madarakani itakuja na hoja gani mpya ya kuomba ridhaa ya kutuongoza tena? Kama walikuwa nayo mabomu, bunduki, mapanga na mahabusu za polisi yalikuwa na umuhimu gani kwao kulazimisha ushindi wa diwani? Hivi hawajiulizi juu ya matumizi makubwa ya fedha za kuhonga na vyombo vua dola kama ishara ya kukataliwa kwao na jamii?
Wewe endelea na ndoto. Ukijikojolea shauri yako
 
Kwa sasa vyama vya upinzani vinapita katika TANURU la MOTO katika kutengenezwa kushika dola 2020.

Ushindi wa CDM kule Mbeya katikakati ya ngome ya CCM,CDM ilipata ushindi.Hapakuwa na vurugu yoyote ile na uchaguzi ulikuwa huru na wahaki. Tusipende kulazimisha vitu.Watu waachiwe kuchagua kile wanachokipenda.RC wa Mbeya ameitendea haki nafasi yake ya uongozi na tunashukuru hata CCM wamelikubali hilo.Nina uhakika Uchaguzi ukiwa huru na wa haki CCM kuna maeneo inakubalika itashinda kwa haki, hivyo hivyo na vyama vya upinzani.

Msitishwe na hii Hama Hama kwani wote hao kabla ya kuja upinzani walikuwa CCM. Kwahiyo wanarudi nyumbani kwao.Kuna shida gani mtu kurudi nyumbani kwao. Tuwe wakweli kama suala in kumuunga mkono RAIS hilo sina shida nalo.Cha msingi ni wewe Diwani unapokuwa umechaguliwa haijalishi uko upinzani au chama tawala mbele ya waliokupa kura unafanya kazi chini ya serikali iliyoko madarakani kwa sababu diwani hana budget yake bali niya serikali kwahiyo kujiuzulu kwa kusema unaunga mkono huo ni UONGO wa MCHANA KWEUPE.VIVA CHADEMA VIVA CUF VIVA ACT WAZALENDO
Nanukuu ''CCM kuna maeneo inakubalika''............... bhasiiiiiiiiiiiiii
 
Sasa hivi ccm ni kama mwanamke mzee, hata ajipambe vipi mvuta inakuwa ni shida. Mwanamke mzee hata ajipambe vipi, akipata kijana ni kwa kuhonga. Achana na nyota ikichakaa mjomba, hata ufanye nini hupati mvuto. Sasa hivi inabidi ufanyike udhibiti wa vyombo vya habari, risasi zitumike dhidi ya wapinzani, kwenye uchaguzi inabidi kufanyike ukatili wa kutisha ili ccm ishinde. Ndio hapo unaona mbinu za kununua wapinzani na kuwatisha ili waikubali ccm. Shida ni mvuto na umeshapotea hata ikipaka wanja inakuwa kama jini.
UZURI SASA HIVI MMEANZA KUHONGEKA WE NA MBOYE MNAHITAJI KIASI GANI ILI NA NYIE MUHAME. MAANA CHAMA KIMESHINDWA KUAJENGA KIITIKAGI
 
Watakuja na hoja gani kwa mfano ya kuwaaminisha watanzania kwamba wao ni mbadala wa serikali iliyopo madarakani?
Uchumi kudorora mf mzunguko wa pesa kushuka, income ya wananchi imepungua hasa wasio na ajira rasmi

Ajira hakuna na wapiga kura wengi ni vijana

Elimu kuporomoka hasa sera mpya ya elimu ndio kaburi lenu

Umaskini watu wanaishi chini ya dola moja

Ufisadi rejea ripoti za CAG

Kilimo kipo ICU

Demokrasia imekufa

Utawala wa sheria hakuna

Bajeti hazitekelezeki

Pesa imeshuka thamani

Afya ndio kabisaaa hakuna huduma za afya hasa vijijini watu wanafia njiani

Maji ndio kabisaaaaa. 60% ya watanzania hawana maji safi na salama

Mkuu nyingi tu mkiruhusu mikutano mbona mnaangushwa asbuhi tu hyo 2020
 
Naomba kuweka kumbukumbu sahihi,
Mwaka 2020 kwa ccm hii ambayo imejikita kutumia dola bila kutekeleza ilichoahidi nikweli uwa chadema inaende kushinda kwa vishindo,niwakumbushe ccm kuwa uhuni walioutumia kwenye kata 43 za madiwani itakuwa ngumu sana kuufanya kwenye majimbo,kata na serikali za mitaa na vitongoji au vijiji,
Vyama vya siasa miaka ya 1992 vilikuwa vinaanza kujifunza siasa na kwa hali hiyo vilikuwa havina nguvu na mbinu,Vimepata marafiki wa nje kama CDU,SPD,Democratic na Republican etc mbinu wamezijua na wameandaa vujana wasomi wengi wasitegemee kujificha kwenye shamba la matembele(polisi)watajuta siku sinyingi,maana hata makaburu na chama cha KANU na vyama vingine vilivyoangushwa vikongwe hapa barani Afrika navyo vilitumia mbinu hiyo.
 
Boss mkweli1961 Sio kwa Tume ya Uchaguzi hii na Katiba hii. Nyie zidini kuota tu, wenzio wanafanya Umafia, Uchaguzi huu uliopita ndio ilikuwa Rasha Rasha tu. Masika yaja 2020. Anzeni kujiandaa Kisaikolojia.
Kwa jinsi ulivyoandika unaonekana kufirahia huo umafia waliotendewa watanzania wenzako
 
Ndoto hazitowaacha salama ufipa,
Alafu kisa chadema kashinda kata moja kati ya 43 basi huko ndio ilikiwapo haki?? Hovyo sana nuie watu!

2020 mtahama nchi kwa aibu itakayowakuta kwa kupigwa chini na watanzania kwa rekodi ambayo haijawahi tokea.

THE OPPOSITION CANDLE IS BURNING AT BOTH ENDS, IT WON'T LAST A NIGHT.
e93a94780f52ec55928ac36d2b1de286.jpg
 
Back
Top Bottom