Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 992
- 1,155
Wakuu mtazamo wangu ni kuona tunakuwa na vyama vyenye nguvu Zinazolingana au kukaribiana sana
Ili ikitokea chama kimoja kikizingua inakuwa rahisi wanachi kukiondoa na kuweka kingine
Mwisho wa siku tunakuwa na ushindani wa hoja zenye kuleta maendeleo makubwa Kwa wananchi
Lakini pia tutaongeza uwajibikaji kwa chama tawala na viongozi wao kuwa na hofu Kwa wananchi wao ambao ndio waajiri wao
Wakuu najua lengo la Cdm no katiba mpya ,
Nashauri hili liwe lengo la muda mrefu waendelee kudai ila napendekeza mikakati ifuatayo
Maana Kwa muda mfupi uliobakia sioni kama Kuna muda wa kutosha kuleta katiba Bora
Mchakato unahitaji muda kidogo
Naona wajielekeze
1. Kupata tume huru ya uchaguzi
hata kama itashindikana bado nashauri wasisusie uchaguzi angalau kuna mazingira mazuri kidogo na tulikotoka
2.Kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na Kisha kushiriki bila kususa bila kujali mazingira yaliyopo
3. kujiandaa na uchaguzi mkuu Kwa kulenga nafasi nyingi za ubunge , zitakazowawezesha
A.kuchukua nafasi ya spika ya bunge na hivyo kuchukua mamlaka ya bunge
B. Itawawezesha kuchukua nafasi ya waziri mkuu hivyo itapelekea kuundwa serikali ya mseto
C.Itawawezesha kutunga Sheria nyingi zenye maslahi Kwa taifa
Ikiwemo sheria ya mchakato wa kupata katiba mpya
D. Watapata nafasi ya kujiandaa kuunda serikali kamili 2030 kama watashinda uchaguzi mkuu
4. Waweke nguvu kupata nafasi nyingi za madiwani Ili kukamata halmashauri
Ili kuonyesha wananchi mbadala was maendeleo wanayoyataka
Mwisho nashauri umoja wa vyama vya upinzani ni muhimu bila kujali ukubwa au udogo wa chama
Ili ikitokea chama kimoja kikizingua inakuwa rahisi wanachi kukiondoa na kuweka kingine
Mwisho wa siku tunakuwa na ushindani wa hoja zenye kuleta maendeleo makubwa Kwa wananchi
Lakini pia tutaongeza uwajibikaji kwa chama tawala na viongozi wao kuwa na hofu Kwa wananchi wao ambao ndio waajiri wao
Wakuu najua lengo la Cdm no katiba mpya ,
Nashauri hili liwe lengo la muda mrefu waendelee kudai ila napendekeza mikakati ifuatayo
Maana Kwa muda mfupi uliobakia sioni kama Kuna muda wa kutosha kuleta katiba Bora
Mchakato unahitaji muda kidogo
Naona wajielekeze
1. Kupata tume huru ya uchaguzi
hata kama itashindikana bado nashauri wasisusie uchaguzi angalau kuna mazingira mazuri kidogo na tulikotoka
2.Kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na Kisha kushiriki bila kususa bila kujali mazingira yaliyopo
3. kujiandaa na uchaguzi mkuu Kwa kulenga nafasi nyingi za ubunge , zitakazowawezesha
A.kuchukua nafasi ya spika ya bunge na hivyo kuchukua mamlaka ya bunge
B. Itawawezesha kuchukua nafasi ya waziri mkuu hivyo itapelekea kuundwa serikali ya mseto
C.Itawawezesha kutunga Sheria nyingi zenye maslahi Kwa taifa
Ikiwemo sheria ya mchakato wa kupata katiba mpya
D. Watapata nafasi ya kujiandaa kuunda serikali kamili 2030 kama watashinda uchaguzi mkuu
4. Waweke nguvu kupata nafasi nyingi za madiwani Ili kukamata halmashauri
Ili kuonyesha wananchi mbadala was maendeleo wanayoyataka
Mwisho nashauri umoja wa vyama vya upinzani ni muhimu bila kujali ukubwa au udogo wa chama