BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 6,182
- 11,779
Kun'garisha viatu ukiwa unaenda kupiga passport size,kumwambia konda shusha wakati upo karibu na Dereva,Kupunguza sauti ya Redio ili Usome message kwenye simu,kumbembeleza mkeo akupe uroda,kuoga kwa sabuni ya unga,kusimamisha basi uulize muda,kuomba maji ya kunywa hotelini,konda kusubiri gari iondoke ndio aikimbilie,kubip alafu unaangalia salio,kuvaa nguo mpya siku ya sikukuu,