Salam kwenu wana JF
Hebu naomba mniambie upi ni ujinga zaidi katika haya?
1.Kung'arisha viatu wakati unaenda kupiga passport size
2.Kukaa kiti cha mbele karibu na dereva kisha umwambie konda 'shusha hapo'
3.Kumuamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi
4.Kupigiwa simu alafu unaangalia salio
5.Kupunguza sauti ya redio ili usome sms au
6.Uote nimekupiga ukanchukulie RB polisi?
Hebu naomba mniambie upi ni ujinga zaidi katika haya?
1.Kung'arisha viatu wakati unaenda kupiga passport size
2.Kukaa kiti cha mbele karibu na dereva kisha umwambie konda 'shusha hapo'
3.Kumuamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi
4.Kupigiwa simu alafu unaangalia salio
5.Kupunguza sauti ya redio ili usome sms au
6.Uote nimekupiga ukanchukulie RB polisi?