Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
[h=6]1.kung'arisha viatu wakati unaenda kupiga passport size
2.kukaa kiti cha mbele karibu na dereva kisha unamwambia konda shusha
3. Kumwamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi
4.kupigiwa simu halafu unaangalia salio kwenye simu yako
5. Kupunguza sauti ya redio ili usome msg
6-Kuosha mikono wakati unakunywa soda
7-Kupiga punyeto huku unataja demu jina lake[/h]
2.kukaa kiti cha mbele karibu na dereva kisha unamwambia konda shusha
3. Kumwamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi
4.kupigiwa simu halafu unaangalia salio kwenye simu yako
5. Kupunguza sauti ya redio ili usome msg
6-Kuosha mikono wakati unakunywa soda
7-Kupiga punyeto huku unataja demu jina lake[/h]