UKAWA imeshatekwa na CHADEMA
Kumbe ni rahisi kufeli mitihani. Hilo ni jibu la swali ulilolitunga mwenyewe. UKAWA wameshateu wagombea uraisi? Mnaweweseka sana. Mtaishia kujinyonga tu
UKAWA imeshatekwa na CHADEMA
Naomba kuuliza...
Hivi inawezekana Mgombea na Mgombea mwenza wake wakatoka vyama tofauti???...
Ninachojua MasterMind wa michezo yote ni EL mwenyewe, Hata kipindi EL anarudi nyuma kumpisha JK Rostam aligoma ili kwasababu EL ndiye MasterMind -Alikubali.Kuna ssehemu nimesoma kuwa Rostam kaenda kwa Magufuli
na kama Jussa kakataa akisema haoni uwezekano wa kushinda basi
Lowassa 'amesha geukwa'....kuna kitu Rostam na Jussa wanakijua ambacho Lowassa hakijui
Lowasa anafanya clean busnes muuza unga anafahamikaHatuwezi kuongozwa na kundi la wauza unga na mafisadi.
kukumbusha awabahatishi n wewe kupapasa.macho story ya juma duni.iko jf siku.nyingi sana sana....humu labda usowadau amani iwe kwenu.
hii sasa pindua pindua na inaonesha jamaa wanafanya kazi kwa kubahatisha.
mtakumbuka kuwa hapo awali kulikuwa na minong'ono kwamba dr slaa ndiye angekuwa mgombea urais wa ukawa na mgombea mwenza wake angekuwa juma duni haji. Hata hivyo, kutokana na lowasa kuteuliwa kuwa mgombea urais wa chadema na ni dhahiri atakuwa mgombea wa ukawa, lowasa alimpendekeza ismail jussa ladhu kuwa mgombea mwenza wake. Hata hivyo, taarifa zilizoripotiwa jana ni kwamba, jusa alikataa pendekezo la kuwa mgombea mwenza na hivyo viongozi wa ukawa wakampendekeza aliyekuwa mwanasheria wa zanzibar, othman masoud kuchukua nafasi hiyo.
hata hivyo, taarifa mpya ni kwamba othman masoud naye amekataa pendekezo hilo kwa madai kuwa ana mambo mengi ya kitaifa na kimataifa yanamkabili. Kutokana na pendekezo hilo kugonga mwamba, ilibidi mpunga utembee. Jana muda wa mchana, maalim seif sharif hamad akitumia usafiri wa makamu wa kwanza wa rais alienda ofisi ya lowasa iliyopo masaki dar es salaam akiambatana na mwanasiasa mkongwe, juma duni haji. Kwenye ofisi ya lowasa alikuwepo apson mwang'onda, james mbatia na edward lowasa.
viongozi hao kwa pamoja walitumia muda mwingi kumshawishi juma duni haji ili awe mgombea mwenza kama ilivyopangwa hapo awali. Hata hivyo, juma duni alionekana kukataa hasa pendekezo la kumtaka ahame cuf na kujiunga chadema. Hata hivyo, viongozi hao walimhakikishia kuwa hakuna atakachopoteza na kwamba kwa vyovyote itakavyokuwa, uanachama wake wa cuf utalindwa. Lowasa alisema kuwa hawana muda zaidi wa kumtafuta mgombea mwenza na kwamba tumaini pekee limebaki kwake juma duni haji.
baada ya kutafakari kwa muda kidogo, juma duni haji alikubali pendekezo hilo kwa masharti. Kwamba, apewe shilingi milioni 500 kama malipo yake kwa kukubali kujivua uanachama wa cuf. Pia endapo ukawa hawatashinda nafasi ya urais, awe analipwa mshahara wa shilingi milioni kumi kwa mwezi kwa kipindi cha miaka 5 ambacho atakuwa nje ya siasa za zanzibar.
masharti hayo yamekubaliwa na lowasa ambapo jana juma duni haji amepewa shilingi milioni 50 kama bonus na leo atapewa shilingi milioni 500 alizoomba na hivyo kufanya jumla ya kiasi chote atakachopewa kuwa shilingi milioni 550.
kutokana na hali hiyo, juma duni haji anatarajiwa kutangazwa rasmi leo mlimani city jijini dar es salaam ambapo chadema wanafanya mkutano wa kumtangaza mgombea urais na mgombea mwenza.
kwa haya yanayoendelea, yanatukumbusha kitu kimoja cha msingi. Kwamba, chadema hawakujiandaa kwa ajili ya kusimamisha mgombea urais na mgombea mwenza. Mgombea urais katoka ccm na mgombea mwenza wamemwazima kutoka cuf. Hii inanikumbusha ya mrisho ngasa kuchezea simba na juma kaseja kusajiliwa na yanga.
Duh! Mkuu, ni padri yupi huyo? Sina uswahiba na mapadri wala kiongozi yeyote wa CHADEMALizabon ni moja kati ya watu wa karibu na Padri hivyo basi maamuzi yoyote ya Ukawa ni lazima Dadri. afahamishwe na hapo ndipo anampatia lizabon pass ya kuhariri ili aitume humu ikikolezwa na viashiria vya pesa ili kumchafua Lowassa.
Mkuu, hilo la kulipwa ni hoja yako. Ila mimi nawawekea humu kwa manufaa ya kila maomajiKama kila bandiko unaloweka hapa kuhusu Lowasa na Chadema unalipwa, mpaka oktoba utakuwa umekusanya mpunga mrefu sanaa!!
Umejitahidi sana kuhangaika, in fact ni zaidi ya kuku anayetaka kutaga!!
anayejua sheria anijuze kuhusu mgombea mwenza kutoka chama kingine..uhalali wake ukoje??
Kuna ssehemu nimesoma kuwa Rostam kaenda kwa Magufuli
na kama Jussa kakataa akisema haoni uwezekano wa kushinda basi
Lowassa 'amesha geukwa'....kuna kitu Rostam na Jussa wanakijua ambacho Lowassa hakijui
Hivi ndugu yangu unaushahidi wa unayoandika hapaWadau amani iwe kwenu.
Hii sasa pindua pindua na inaonesha jamaa wanafanya kazi kwa kubahatisha.
Mtakumbuka kuwa hapo awali kulikuwa na minong'ono kwamba Dr Slaa ndiye angekuwa Mgombea Urais wa UKAWA na mgombea mwenza wake angekuwa Juma Duni Haji. Hata hivyo, kutokana na Lowasa kuteuliwa kuwa mgombea Urais wa CHADEMA na ni dhahiri atakuwa mgombea wa UKAWA, Lowasa alimpendekeza Ismail Jussa Ladhu kuwa mgombea mwenza wake. Hata hivyo, taarifa zilizoripotiwa jana ni kwamba, Jusa alikataa pendekezo la kuwa Mgombea Mwenza na hivyo viongozi wa UKAWA wakampendekeza aliyekuwa Mwanasheria wa Zanzibar, Othman Masoud kuchukua nafasi hiyo.
Hata hivyo, taarifa mpya ni kwamba Othman Masoud naye amekataa pendekezo hilo kwa madai kuwa ana mambo mengi ya kitaifa na kimataifa yanamkabili. Kutokana na pendekezo hilo kugonga mwamba, ilibidi mpunga utembee. Jana muda wa mchana, Maalim Seif Sharif Hamad akitumia usafiri wa Makamu wa Kwanza wa Rais alienda Ofisi ya Lowasa iliyopo Masaki Dar es Salaam akiambatana na mwanasiasa mkongwe, Juma Duni Haji. Kwenye ofisi ya Lowasa alikuwepo Apson Mwang'onda, James Mbatia na Edward Lowasa.
Viongozi hao kwa pamoja walitumia muda mwingi kumshawishi Juma Duni Haji ili awe mgombea mwenza kama ilivyopangwa hapo awali. Hata hivyo, Juma Duni alionekana kukataa hasa pendekezo la kumtaka ahame CUF na kujiunga CHADEMA. Hata hivyo, viongozi hao walimhakikishia kuwa hakuna atakachopoteza na kwamba kwa vyovyote itakavyokuwa, uanachama wake wa CUF utalindwa. Lowasa alisema kuwa hawana muda zaidi wa kumtafuta mgombea mwenza na kwamba tumaini pekee limebaki kwake Juma Duni Haji.
Baada ya kutafakari kwa muda kidogo, Juma Duni Haji alikubali pendekezo hilo kwa masharti. Kwamba, apewe shilingi milioni 500 kama malipo yake kwa kukubali kujivua uanachama wa CUF. Pia endapo UKAWA hawatashinda nafasi ya Urais, awe analipwa mshahara wa shilingi milioni kumi kwa mwezi kwa kipindi cha miaka 5 ambacho atakuwa nje ya siasa za Zanzibar.
Masharti hayo yamekubaliwa na Lowasa ambapo jana Juma Duni Haji amepewa shilingi milioni 50 kama bonus na leo atapewa shilingi milioni 500 alizoomba na hivyo kufanya jumla ya kiasi chote atakachopewa kuwa shilingi milioni 550.
Kutokana na hali hiyo, Juma Duni Haji anatarajiwa kutangazwa rasmi leo Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambapo CHADEMA wanafanya mkutano wa kumtangaza mgombea Urais na Mgombea Mwenza.
Kwa haya yanayoendelea, yanatukumbusha kitu kimoja cha msingi. Kwamba, CHADEMA hawakujiandaa kwa ajili ya kusimamisha Mgombea Urais na Mgombea Mwenza. Mgombea Urais katoka CCM na Mgombea Mwenza wamemwazima kutoka CUF. Hii inanikumbusha ya Mrisho Ngasa kuchezea Simba na Juma Kaseja kusajiliwa na Yanga.
Ulikuwepo wakati akizitoa?Hapana Mkuu, hizo fedha ndizo zilizotolewa na LOWASA
Soma UZI WA NDUGU YAKO HUU.................. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/899678-prof-lipumba-ajiuzulu-uenyekiti-cuf.html
Siwezi kununulika kirahisi
Mkuu, mbona leo unachangia kwa unyonge sana?