Mzee Duni Haji: Kwa mara ya kwanza ndio nimeshuhudia Mkutano wa Siasa Meza kuu Wamejaa Maaskofu, Mapadre na Wachungaji, CHADEMA ni Wadini!!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,015
142,055
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Chanzo: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
 
Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere
Duni haji kajichokea anahitaji huruma tu.

Sasa kama mwinyi alikuwepo hawakusema vipi aseme ni wadini.

Wajikite kwenye vifungu vya mkataba waache kubwabwaja.

Wenzao ccm vita ya udini iliwashinda wao wataweza?
 
Mungu wa Mbinguni aepushie mbali
Screenshot_20230807-130439.png
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
ukweli mtupu
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
huyo mzee duni anapaswa kuelewa wasukuma ni kabila kubwa sana nchi hii na hilo genge lake la kiislamu linaloitwa Act anapaswa kujua kuwa wabunge wengi wanatoka usumumani hata mgombea urais hawezi kushinda bila kuwin usukumani sasa aendelew na ujinga wake anafikir kujaza mkutano kibanda maiti ndio kushinda urais, lizee pumbavu kweli nilikuwa naliheshim kumbe ni pumbavu tu.
 
Mkataba wa Bandari utagawa sana umoja,naona kuna fungu kubwa sana la kutetea ambalo lipo kwa wadini wa ACT- hutoona hata ACT mmoja akikosoa mkataba wa Bandari.

Watawala nao wameona wapitie kwenye wiga wa dini kua anapibgwa kwa sababu ya hijabu yake.

Haya yalifanywa enzi za Kikwete,pale wakina Lipumba,Zitto walipoungana na CCM!!

Rais Samia angetambua kua hakuwahi kuchaguliwa na Watanzania kwa hijabu yake na wala uchaguzi ukija akagombea watu hawatoangalia dini na mavazi yake,bali utendaji wake na uzalendo wake.

Vyema angekemea haya yanayokuja ya kuingiza udini!!
 
Back
Top Bottom