uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 7,456
- 10,706
Nimetafakari sana juu ya huyu nguli wa Siasa nchini Tanzania. Sipati picha siku anatua Tz na atangaze nia ya kugombea Urais, Kuna viongozi wakubwa ndani ya CCM watakufa kwa pressure.
Naona kama Watanzania wana hisia kali sana juu ya Tundu Lissu, yupo kwenye Mioyo ya watu wengi.
Amepata kibali, na anakubalika...
CCM watatumia mbinu kubwa sana hili lisitokee moja wapo ikiwa ni kuwavuruga Wanachadema, hata wajaribu kuwahusisha CDM na kushambuliwa kwa Lissu.
Tundu Lissu-ni Tishio kubwa kwa CCM wajiandae kutingishika, wasipojishika vizuri lazima waanguke-(take my word)
Naona kama Watanzania wana hisia kali sana juu ya Tundu Lissu, yupo kwenye Mioyo ya watu wengi.
Amepata kibali, na anakubalika...
CCM watatumia mbinu kubwa sana hili lisitokee moja wapo ikiwa ni kuwavuruga Wanachadema, hata wajaribu kuwahusisha CDM na kushambuliwa kwa Lissu.
Tundu Lissu-ni Tishio kubwa kwa CCM wajiandae kutingishika, wasipojishika vizuri lazima waanguke-(take my word)