Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,385
CCM mwakani itashinda kwa zaidi ya 80% alishindwa lowassa mwaka jana who is Lissu?
Ccm haiwezi kushinda kwa zaidi ya 50%, sema watatangazwa washindi kwa zaidi ya 90%. Tofautisha kushinda na kutangazwa mshindi.