JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
MsemajiUkweli,
..kwa mara ya kwanza CCM itakuwa na mgombea anayezungumza pumba katika majukwaa kulinganisha na mgombea wa upinzani.
..TL anaweza kulitawala jukwaa hata kwa masaa 3 na wananchi wasichoke kumsikiliza. Jpm ni lazima asaidiwe na wasanii, viongozi wa dini, na utitiri wa wazungumzaji.
..Hali ya maisha ya Watanzania ya umasikini na ukosefu wa ajira ni mambo ambayo hayarekebishiki kwa muda mfupi uliobaki. Sidhani kama Jpm ataweza kujitetea pale TL atakapojenga hoja za kuishitaki ccm kwa matatizo yanayoikabili Tanzania.
..kwa mara ya kwanza CCM itakuwa na mgombea anayezungumza pumba katika majukwaa kulinganisha na mgombea wa upinzani.
..TL anaweza kulitawala jukwaa hata kwa masaa 3 na wananchi wasichoke kumsikiliza. Jpm ni lazima asaidiwe na wasanii, viongozi wa dini, na utitiri wa wazungumzaji.
..Hali ya maisha ya Watanzania ya umasikini na ukosefu wa ajira ni mambo ambayo hayarekebishiki kwa muda mfupi uliobaki. Sidhani kama Jpm ataweza kujitetea pale TL atakapojenga hoja za kuishitaki ccm kwa matatizo yanayoikabili Tanzania.