Yote haya unayasema hapa yanatufanya tu pay attention na tukuheshimu na kuku wish all the best.
But ole wako katika safasri yako hiyo uanze 'kuwavulia watu chupi' ili ufanikiwe tutakuja kukuponda na kukudharau na yote mazuri yako tunaweza shindwa kuyaona ...all the best
Yote haya unayasema hapa yanatufanya tu pay attention na tukuheshimu na kuku wish all the best.
But ole wako katika safasri yako hiyo uanze 'kuwavulia watu chupi' ili ufanikiwe tutakuja kukuponda na kukudharau na yote mazuri yako tunaweza shindwa kuyaona ...all the best
kuwavulia chupi wanaume ni haki ya kuzaliwa ya kila mwanamke hata mamako alifanikiwa kukuzaa wewe baada ya kumvulia mwanaume chupi.
Samahani Otorong'ong'o
Tumekwisha. Yaani Mtutsi anakuwa Mwenyekiti wa BAVICHA? Hakika Kagame anazidi kuingia ndani ya mizizi ya upinzaniFamilia yake ni ya Geita
Ana asili ya kitusi
Alishiriki Maisha Plus ndio eneo lililompaisha
Kuna Thread ya Pasco amejaribu ku probe
Sema ni Mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa BAVICHAHuyu Binti anagombea Uenyekiti wa BAVICHA - Taifa lakini jamii kubwa ya Kitanzania haimfahamu.
Anayemjua atupie hapa historia yake walau kwa ufupi tu !
Acheni siasa za kibaguzi.!Familia yake ni ya Geita
Ana asili ya kitusi
Alishiriki Maisha Plus ndio eneo lililompaisha
Kuna Thread ya Pasco amejaribu ku probe
Mimi UPENDO binti wa PENEZA maisha yangu yamejaa mapambano yasiyoisha duniani. Nimekuwa mtu wa kuthubutu kinyume na mategemeo ya rafiki,wazazi na ndugu zangu kwa ujumla.