Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda

Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda

Status
Not open for further replies.
Hongera sana Upendo Furaha peneza kwa ujasiri wako,NAKUOMBA TU USIKATE TAMAA Hata pale uliposhindwa na ulitarajia ushindi... kumbuka mvumilivu hula mbivu ... najua sasa utaanza kunyemelewa na wengi wankiwa wanasiasa wakitaka uhujumu chama chako kwa sababu hii na ile ... Remain strong and prove to the public that you are strong ... Hata paulo katika biblia alishauri Timoteo kuwa ajioneshe kuwa anaweza na kuwa hana sababu ya kutiliwa shaka ... nawe fanya hivyo ... Jiepushe na dhambi ile ikuzingayo kwa upesi na kwa chadema jaribu kubwa ni kurubuniwa na watawala kwa vipande vya fedha ... kuwa makini sana mdogo wangu ... ntahuzunika sana kama nawe utaangukia kwenye mtego wa akina Juliana shonza ambao tuliwapenda lakini watawala wakawapenda zaidi ...
 
Hongera sana Upendo Furaha peneza kwa ujasiri wako,NAKUOMBA TU USIKATE TAMAA Hata pale uliposhindwa na ulitarajia ushindi... kumbuka mvumilivu hula mbivu ... najua sasa utaanza kunyemelewa na wengi wankiwa wanasiasa wakitaka uhujumu chama chako kwa sababu hii na ile ... Remain strong and prove to the public that you are strong ... Hata paulo katika biblia alishauri Timoteo kuwa ajioneshe kuwa anaweza na kuwa hana sababu ya kutiliwa shaka ... nawe fanya hivyo ... Jiepushe na dhambi ile ikuzingayo kwa upesi na kwa chadema jaribu kubwa ni kurubuniwa na watawala kwa vipande vya fedha ... kuwa makini sana mdogo wangu ... ntahuzunika sana kama nawe utaangukia kwenye mtego wa akina Juliana shonza ambao tuliwapenda lakini watawala wakawapenda zaidi ...

Mkuu ni ushauri mzuri kabisa. Ninaamini kama atashindi vishawishi vyote hasa kuanzia sasa basi hapo baadae ana nafasi kubwa katika chama. Mdogo wangu Upendo nakuomba usikatishwe tamaa na hao watu ambao akiri zao nyingi zimebakia kuangalia sura za watu na lengo lao ni moja tu, nalo ni raha za hapa duniani tu bila kufikiria mbali kwa mfano watoto mashuleni hawana hata daftari, wanawake wangapi wanakufa wakti wanajifungua nk. Mama tuko nyuma yako don't despair!!
 
Upendo Furaha Peneza Hongera sana Kamanda japo kura hazijatosha, Usikate tamaa!

Wewe ni jembe hasa, unakipaji na uwezo mkubwa!


Endelea kukitumikia chama kwa moyo & nguvu zako zote!
Leo kura hazijatosha lakini najua ipo siku kura zitatosha!
Hongera sana kwa mara nyingine!
 
Last edited by a moderator:
Ningependa sana huyu binti angeshinda...but anyway its democracy
 
Upendo wewe ni jembe, usikate tamaa bali tusonge mbele, katika shindano kuna kushinda na kushindwa,
Hayo ni mambo mawili ambayo mshindani mahiri yeyote anatakiwa kuyajua na kua tayari kuyakabili....

Hope you'll become some one else one day



Amitabh.....
 
Ielewe. ilinde, isambaze, itetee na ipiganie katiba, sera, falsafa na mikakati ya CDM katika kuleta ukombozi wa kweli wa pili wa Tanzania. Tunatakiwa kuitengeneza leo yetu kwa ajili ya kesho ya watoto wetu tofauti na CCM ambao wanatapanya rasilimali za nchi hii as if hakuna kesho. Mimi ni CDM undercover, naipigania CDM kwa nguvu zangu zote na moyo wangu wote nikiwa undercover kutokana na nafasi yangu serikalini. Nimeshahatarisha sana ajira yangu lakini bado napambana. Katika vita wapo walio frontline kwenye fire zone na wengine wapo maofisni kufanya logistics lakini wote wanapigana vita. Angalia matokeo ya sensa ya 2012 (demographic composition) na utaona vijana walivyo mtaji muhimu katika siasa so i wish you all the best of luck. BTW, Abdul wa Maisha Plus I yupo wapi?
 
Mkuu, maccm ndio zao hizo, wanawake mpaka wavue ch**p ndio wapate nafasi,

Mabungr yote ya maccm viti maalum yana hilo tatizo.

Ukitaka kujua muulize mangula na mpambe wake wa hapa JF watakwambi.

Kama Babu alikula kondoo sijui kama huyu digidigi atamuacha
 
Nakweli historia imejirudia haujashinda lakini umenga'ra na umetingisha kuliko walokuwa wanafanya uchafuzi mitandaoni.Hongera kwako na jembe Patrobas.
 
What a powerful post baby girl...hakika utashinda dada

1450738_669229543109813_696780082_n.jpg
 
Dada Upendo Peneza irrespective of your age wewe noma. Wewe ni mpambanaji wa kweli ktk mapambano ya kutafuta haki na heshima nchini Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom