Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,302
Yote haya unayasema hapa yanatufanya tu pay attention na tukuheshimu na kuku wish all the best
but ole wako katika safasri yako hiyo uanze 'kuwavulia watu chupi' ili ufanikiwe tutakuja kukuponda na kukudharau na yote mazuri yako tunaweza shindwa kuyaona ...all the best
Naongeza hapo;Ole wako uje kuwa sehemu ya kudhoofisha harakati za kweli za kulikomboa taifa ili,kwa kukubali kuunajisi misimamo na kauli zako za sasa kwa vipande vya fedha toka Lumumba kama walivyofanya Juliana SHONZA na wenzake.