dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Makamanda, Upendo Peneza kapata ajali mbaya, alikuwa kwenye Gari la Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita kamanda Alphonce Mawazo.
Alikuwa anatoka Kata ya kamuhanga kwenye mkutano yeye na mwenezi jimbo la Geita kamanda Focus Sengerema.
Sasa Yuko hosipitali ya SAKAMU Mkoani Geita amelazwa kwa matibabu Maalumu ameumia kifuani na miguu napenda kutoa pole kwa kamanda wangu Upendo Peneza kwa ajali hii Naomba Mwenyezi Mungu amjalie apone haraka.
Alikuwa anatoka Kata ya kamuhanga kwenye mkutano yeye na mwenezi jimbo la Geita kamanda Focus Sengerema.
Sasa Yuko hosipitali ya SAKAMU Mkoani Geita amelazwa kwa matibabu Maalumu ameumia kifuani na miguu napenda kutoa pole kwa kamanda wangu Upendo Peneza kwa ajali hii Naomba Mwenyezi Mungu amjalie apone haraka.