Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,007
- 2,793
Mbona Kabanwa atoe Sababu hasa ya kuondoka CDM kashindwa kutoka. Mimi sijasikia alipomuanika Mbowe jipya zaidi ya Why alishirikiana na baadhi ya Wabunge 19 kwenye Harambee. Nazani Kuna Maisha nje ya SiasaDada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.