Hahahaha umegundua tatizo lipo wapi Sasa, unawaza wa kukupa,we umempa Nani???Tatizo wa kukupa upendo wa hvo sijui walishakufaga
Ninaoo sema sion wa kumpa[emoji848]Hahahaha umegundua tatizo lipo wapi Sasa, unawaza wa kukupa,we umempa Nani???
Ukiwa na upendo utatoa ,ukiwa huna unatafuta wa kukupa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole mbibi...Jf mbabu
Mbabu acha kumuiga mzee mengi tafuta ya kwakoPole mbibi...
I love you crazy.[emoji8][emoji8][emoji8]
Achana kabisa na Mvuto wa olive oil ---yaani mtu anaambiwa kuwa sikutaki lakini bado tu ---- kumbe jana sikuwa nimekosea kiruuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya banaNiko mfaranyaki njoo tuchome mahindi na kukaanga firigisi kwa raha zetu.
Ha ha ha ha ashaongea pia na mwanasheria wako ili kuficha urithi kama uliandika yaan tafran tupu bora uwe middle kuliko tajiriHapo wameshaficha hati za nyumba na kadi za magari[emoji23][emoji23][emoji23].
Siyo Mimi nimesema lakini ni wewe.
Aisee yaani unamwambia kabisa let's end this na yeye yumo tu? Au wewe mtamu kuliko mcharo [emoji23][emoji23][emoji23]Sio kila anayeambiwa let's end this relationship huwa anakubali.
Pamoja vituko vyote unavyoweza kumfanyia lakini bado akaendelea kutaka kubaki kwenye maisha yako akiamini kuna siku utabadilika.
Haya mambo yapo na ni halisi japo ni vigumu sana watu Ku admit.
Umezionaje?[emoji41]dalili za yeye kuto lala pembeni yako naziona
Haha..Awezee wap yule kashazeeka
Ving'ang'anizi si ndo wenye mapenzi ya kweli jamaniiiiiKuna watu ving’ang’anizi aisee mpaka kero tena kubwa sana. Halafu mwenyewe ndiye aliyeharibu. Sitaki ujinga ujinga miye. [emoji41]
Aisee yaani unamwambia kabisa let's end this na yeye yumo tu? Au wewe mtamu kuliko mcharo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu mwenyewe anatupenda lakini anategemea "return" kutoka kwetu(kwa waaminio), iweje upendo wa mtu na mtu...Sasa huo unakua sio upendo bali biashara...! Upendo wa kweli ni unapenda bila kutegemea return yeyote...! Usimpende mtu ili na yeye akupende, au ili upate chochote kutoka kwake, ukifanya hivyo utakua sio upendo wa kweli....
Ukishajielewa hutakiwi uambiwe lets end this relatnshp..unatakiwa ujiongeze tuAisee yaani unamwambia kabisa let's end this na yeye yumo tu? Au wewe mtamu kuliko mcharo [emoji23][emoji23][emoji23]