Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Kumbe we mthauth hahaa.. Ndo ukaamua kuniongeleshea ksoth mwenzio.. Leo nimekuona kuleeee..
wala sijawahi fika huko kwa madiba ila najua cha kuombea maji tu, uliniona wapi tena?
Kumbe we mthauth hahaa.. Ndo ukaamua kuniongeleshea ksoth mwenzio.. Leo nimekuona kuleeee..
Umeona eeh,wageni ni baraka asikwambie mtuu...karibu kwangu pia. ladyfurahia eti hupendi wageni?
napenda sana wageni aje tena angojee na mwenzake atapikiwa kila atakacho
Ngoja nije! Mzima wewe?
mm mzima karibu shem kama unapenda tena uje na binamu yangu pia
Naja mwenyewe bhana!! Si unajua binamu nyama ya.............??
wala sijawahi fika huko kwa madiba ila najua cha kuombea maji tu, uliniona wapi tena?
Gud sana namna hyo unatakiwa kujua lugha mbalmbal kama ivo. Nilikuona mitaa flan umezama ndan ya hekma nikaogopa kukuvuta shat ikbd nipte pembeni...
we mbaya, ungenivuta tu. Aaaah!
Niliogopa mwenzio nikapta kmyakmya af kama uliniona vle..
nisingekubal upite hv hv endapo ningekuona.
Duh kumbe najua kujfcha had napta hunion, lakn huwa najua nikpta mtaa flan nikakuona najua usalama upo ata nispokusemesha.
nitaendelea kuwepo hata ukiendelea kunichunia.
jaman ckuchunii wew tena nooooo...
nitaona
shukran mkuu hapo nimefrah make nilikua nasubr kwa ham kukarbshwa na Mwanyasi. Haya juic yang naitaka...
Ewaaaa, nilivokuona tu mara ya kwanza moyo ulihisi kukukaribisha, KOKUTONA dada yangu ameunga mkono ili tuwe na mazungumzo ya falagha.
Nakualika tufanye kikao muhimu pale mmu hotel......!
hahaaa.. Ila usiniwekee mtego kumbuka wew ni bodgad.
ucjal nitakupeleka unavyotaka
bodgad af ndo mwenyej mwenyew raha sana..