utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Una busara
Mzima shem? Mda mwengine inabidi uwe na busara
Una busara
Mzima shem? Mda mwengine inabidi uwe na busara
mimi buheri wa afya
ingawa hali ya hewa inatatanisha
Hali ya hewa imefanyaje? Kwani Bado hujamaliza kutoa maji?
hahaha nimemaliza tatizo hali haitabiriki mda wowote mafuriko yaweza kupiga hodi
Karibu sana
Huku kwetu ishaanza tena
Huku kwetu ishaanza tena
kwani kwenu mmeingiliwa na mafuriko
pole bestito ila chakufanya chukua
hayo magodoro na vitu viweke darini vitapona
kumbe hadi kwako ipo nilitegemea utakuwa mkombozi wangu
Me mvua naichungulia dirishani tu.....ikiendelea basi nafasi zipo karibu sana
hahahaha mhhhhhh i hope nikikaribia hautakuwa simba ulievaa ngozi ya kondoo
Hahah hakuna kabisa, nitakua kondoo nilievaa ngozi yangu mwenyewe
Habarini za siku nyingi
mabestito wangu niliwamisije?
ACHA NIWAACHIE KACHORUS KATAMU
KA KUWAKUMBUKA MARAFIKI ZANGU
Upendo haumo katika maneno;
unaonekana kwa matendo;
hauonekani kwenye raha;
wathibitika wakati wa shida.
Wimbo huu ulinifariji sana na kunifanya niwe murua,
sitasahau mateso, machungu niliyoyapata kifungoni,
wanaposema watu kifungo ni sehemu ya jela kweli
nimeamini' Kifungo kimenipunguzia hamu ya maneno;
Ingawaje wengine walifurahia kuona niko lupango;
ila kuna wengine ambao walihuzunika pamoja nami;
na wengine wadiliki kunitafuta kwa udi na uvumba;
ili mradi wasikie suti yangu, walininicarriage na kuwa
karibu yangu, kweli sitoweza kuwasahau kwani wao
ndio walionipa furaha nyakati zile.
mmojawapo ni Excel alimwambia binamu yangu kuwa
amenimiss; na wengine ni ndugu zangu katika ukoo wa watu8; kuwataja kwenye midomo yangu ilikuwa ni kila
siku hawa ndugu zangu wamenipa changamko la milele;
Kweli nimepewa ndugu humu mjengoni nimefarijika
daima unapoona uko kwenye shida, barriers mbalix2;
jua kuwa Mungu huwatuma watu wake wakulishe kama
ndege alivyokwenda kwa nabii isaya na kumpa nyama
nyakati zile za ukame kule misri, nawakumbuka sana Passion Lady, charminglady, na Lady doctor
ambao ndio walinitia moyo na kusema kuwa ipo siku
utatoka shimoni.
Marafiki msiombe kuingia kwenye BAN ni kubaya asikwambie
mtu kwani hata kilo za mwili zinapungua ukitaka kujua zaidi;
wewe muulize Baba V kwani nilikutana naye huko BANNED
Nimemsamehe 7x70 yule kauzu anayejifanya yeye ni mnyavtaka
na nimekuja kwa KISHINDO tena kwa UKAMANDA uliothibitika
MWALIMU WA WANAWAKE muelimishaji rika kaeni mkao wa somo
Nawatakia siku njema
Wasalamu;
Ladyf
CC: Erickb52, kabanga, Slave, Arushaone, Filipo, Annie, Bujibuji Himidini, The secretary, Madame B, sweetylady, FirstLady, KakaKiiza, Kipaji Halisi, Kongosho, everlyn
na wengineo wengi samahani kwa wengine ambao sijawataja samahani sana
nawapenda
Ukitaka kuwa na maisha ya amani hapa jukwaani ikubali BAN na kuifanya sehemu ya maisha yako, maana kuna watu wana maudhi na usipowapa haki yao unaweza ukapata kansa ya akili, mi mwenzenu baada ya kuikubali BAN nimekuwa na amani kwa kweli, siiogopi tena, tena kuna wakati naharibu afu najipeleka mwenyewe servan mods ndo wanakuja kuniambia hatujakupiga BAN.
we mbona ulikuwamo humu siku zote? mi nina reason
Ukitaka kuwa na maisha ya amani hapa jukwaani ikubali BAN na kuifanya sehemu ya maisha yako, maana kuna watu wana maudhi na usipowapa haki yao unaweza ukapata kansa ya akili, mi mwenzenu baada ya kuikubali BAN nimekuwa na amani kwa kweli, siiogopi tena, tena kuna wakati naharibu afu najipeleka mwenyewe servan mods ndo wanakuja kuniambia hatujakupiga BAN.