janeth1
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,151
- 768
poa poa
Abudu dai leo et...
poa poa
Abudu dai leo et...
tanki ke a leboga
Duh! Nimetoka m2pu ngoja nimtafute mkalman chapchap kabla bas halijaondoka.
litakuwa jambo zuri, ili anitafsirie nami *Abudu dai leo et...*
Hahaaa... Leo ni siku ya kuabudu. Kweli jno kwa jno, haya nambie wamanisha nn?
asante
Pole mdada ladyfurahia..ni kweli upendo bila matendo hauna maana na hauwezi kuwa upendo.
Maandiko toka BIBLIA 1JOHN 3:18 yanasema ' Dear children, leet us not love with words or speech but with actions and in truth
Mwambie asiondoke hadi nije..nina tamani sana kumuona,mupe chupa kabisa ya hiyo juisi, glass wil not be enough
asante mwaya anashukuru kwa neno la kunifariji bestito
Umeona eeh,wageni ni baraka asikwambie mtuu...karibu kwangu pia. ladyfurahia eti hupendi wageni?Hahaaa... Nina ham na hyo chupa. Naomba niulzie lady furahia ye hapend wagen? Hata kwako kama hutembelew ni nuks...
Umeona eeh,wageni ni baraka asikwambie mtuu...karibu kwangu pia. ladyfurahia eti hupendi wageni?
Lugha gan uloandka hapo juu? Ninong'oneze bas nina ham ya kujua.
hiyo ni ya kule south africa