Upekuzi wa simu ya mpenzi wako

Upekuzi wa simu ya mpenzi wako

Hapana usijipe ulazima wa kusaliti mama..lkni saa zingine mwanaume hufanya mwanamke asaliti.

Hivi case kama rafiki yako kutembea na mwanaume wako na ukajua tena unajibiwa utopolo mtupu utaaacha kusaliti kweli.

Kuna wanawake wanapitia mateso ya mahusiano lkni hawawezi kusema kuwa wanachepuka😅😅

Have fun maisha ndo haya haya 🥂🥂
Hahaah maisha ndio haya haya
 
Huyu sasa alizid katika kitu siwezi fanya ni hiki mimi mwenyewe ningemjibu hivyo hivyo ni uboya huo
Nilipigiwa simu hadi na wajomba wa mchumba,,,kkkkk.
Dume lilisusa hata kula,,linataka lijuwe ukweli kkkkkk
 
Kupekua simu ya mpenzi wako si vizur lakini siku moja moja si vibaya kufanya doria sema ukikuta text za mchepuko hapo chacha presha inapanda presha inashuka
 
kinachomuumiza mwanaume anapochitiwaaa na mtu anaempenda ni kule kuwaza inamaana simridhishi ndo maana anachit, pia unapowaza ule ufanyikaji wa lile tendo ndo nguvu huisha unawaza yawezekana kageuzwa geuzwa kama chapati kuliko navomgeuzaga mimi dah! yaani ni full kuwaza ujinga
yan mimi nawazaga hivo ivo man. naumiagaa kinomaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yupo jamaa mmoja alichukuwa simu ya mpnz wake akanitext,,,baby mambo?
Nilipogunduwa nachat na dume.
Nikamtext kama wewe ni Farida nambie juzi tulipolala nilikojowa mbele goli ngapi na nyuma nilikojowa goli ngapi?
Jamaa akapiga simu ,, ana hema presha 300..
Akajitambulisha ni mchumba wa Farida,,nimueleze ukweli wa uhusiano wetu....
Kkkkkkk..
Ukitaka ufe mapema chunguza simu ya mpnz wako.
umeniacha hoi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom