Ukikuta meseji ya kimapenzi kwenye simu ya mpenzi wako, kipi cha kwanza cha kufanya?

kilamba lamba

JF-Expert Member
May 27, 2020
367
679
Natumai mu wazima sana.

Utafanya nini cha kwanza unapokuta meseji ya kimapenzi ya mtu mwingine kwenye simu ya mpenzi wako .je utafatilia kimya kimya ujue ukweli, au utaamua kumkalisha chini mpenzi wako na kumwambia ukweli?
 
Cha kwanza ntafuatilia ukweli kimya kimya mpaka niujue ukweli wote. Pili nikishajua ukweli ntamtumia hiyo conversation nikiwa nae nione atareact vipi.. hapo ndio ntajua zaid cha kufanya.

NB: usupekua simu ya mwenza wako labda kama unatafuta sababu ya kumwacha na ni hatari kwa afya yako.
 
Huo ukimya kimya ndo unawaua nakuwapa magonjwa ya moyo.

WEWE UKISHAJUA , BASI HAKIKISHA UMEFANYA AJUE KUA UMEJUA ANACHEPUKA.

baada ya hapo, usimpe hata muda wa kujitetea, fanya mambo yako kimya kimya


MWANAMKE AKISHAAMUA KUCHEPUKA, AMINI NAKUANBIA, HATA UMPE KIPIGO VIPI, HATA UMGOMBEZE VIPI, HATA UFANYEJEE, KAMA HAJAAMUA MWENYEWE, ATALIWA TU.

Zaidi
 
Natumai mu wazima sana.

Utafanya nini cha kwanza unapokuta meseji ya kimapenzi ya mtu mwingine kwenye simu ya mpenzi wako .je utafatilia kimya kimya ujue ukweli, au utaamua kumkalisha chini mpenzi wako na kumwambia ukweli .?
Kuwa makini na chat za wanawake, ukae ukijuwa wanawake walioshibana wanaitana mpenzi.

Sasa usikurupuke kukuta neno mpenzi ukalipuka kumbe mwenzako anachat na shoga yake.

Cha msingi achana na simu ya mwenza wako.

Simu siyo sharing device.
 
Natumai mu wazima sana.

Utafanya nini cha kwanza unapokuta meseji ya kimapenzi ya mtu mwingine kwenye simu ya mpenzi wako .je utafatilia kimya kimya ujue ukweli, au utaamua kumkalisha chini mpenzi wako na kumwambia ukweli .?
Unatafuta nini kwenye simu ya mtu mkuu utakufa siku sio zako
 
Ulipaswa uandike where have you been?

Samahamani lakini sina nia mbaya ya kukukwaza.
Wala usijali kabisa mkuu! It's ok kurekebishana mistakes and i take it in a positive way. Sasa mimi nilitaka kumuuliza "anaendeleaje" and not where he has been as you said, so how it was supposed to be?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom