Chapakila
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 291
- 1,439
Embu tukukane hapa ndugu zangu, nini kilikukuta na ulichukua uamuzi gani baada ya kukagua simu ya mpenzi wako.
Mimi nlikua nimeenda msalimu kwake kwa “Suprise” nkakuta mlango umeegeshwa tu alitoka kwenda kununua kitu shop Ndio sababu aliyonipa pindi aliporejea, aliacha simu kwenye charge nkaperuzi chap nkakuta message za kawaida isipokua moja ya malalamiko, jamaa alikua ana hoji kwanini alikua hayupo sawa Kama siku zingine kwenye mgegedo ohooh, chap nkafanya survey ya chumba nka kagua kagua bafuni na sehemu zote ntakazo pata evidence hadi kwenye sehemu anapokusanya taka taka (dustbin) nkakutana na kipisi cha condom iliotumika.
Hapo ndipo nkishiwa nguvu na kusema hawa shetani wadogo hawana huruma kabisa. Mpaka leo nkikumbuka nashtuka umpya sikutegemea kama nako kana ujanja ujanja mana kalikua kapole na kamcha Mungu Kweli Kweli nkajua nakula peke angu.
Nanukuu: kama demu wako anaishi kwake piga kifua mara 3 kisha nawewe mwaga yaliyokusibu baada ya kuperuzi simu ya mpenzi wako
TWENDE SAWA
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mimi nlikua nimeenda msalimu kwake kwa “Suprise” nkakuta mlango umeegeshwa tu alitoka kwenda kununua kitu shop Ndio sababu aliyonipa pindi aliporejea, aliacha simu kwenye charge nkaperuzi chap nkakuta message za kawaida isipokua moja ya malalamiko, jamaa alikua ana hoji kwanini alikua hayupo sawa Kama siku zingine kwenye mgegedo ohooh, chap nkafanya survey ya chumba nka kagua kagua bafuni na sehemu zote ntakazo pata evidence hadi kwenye sehemu anapokusanya taka taka (dustbin) nkakutana na kipisi cha condom iliotumika.
Hapo ndipo nkishiwa nguvu na kusema hawa shetani wadogo hawana huruma kabisa. Mpaka leo nkikumbuka nashtuka umpya sikutegemea kama nako kana ujanja ujanja mana kalikua kapole na kamcha Mungu Kweli Kweli nkajua nakula peke angu.
Nanukuu: kama demu wako anaishi kwake piga kifua mara 3 kisha nawewe mwaga yaliyokusibu baada ya kuperuzi simu ya mpenzi wako
TWENDE SAWA
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]