February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,204
- 3,060
ulishikiwa bunduki?Nisiwe mwongo kuna wakati nililazimishwa kusaliti..hakuna wa kulaumiwa.
ulishikiwa bunduki?Nisiwe mwongo kuna wakati nililazimishwa kusaliti..hakuna wa kulaumiwa.
🥂🥂mkuuLol, hatari sana umenipa nyege
Eehee uliishika wew mkuu 😅ulishikiwa bunduki?
Asante mkuuHongera kwa hatua hiyo!
Nashukuru kwa kunielewa....😅
dah mbn sikumbukki huo utamuEehee uliishika wew mkuu [emoji28]
I wish I could be IGP🏇🏇Na wewe tafuta mnyonge umzibue.
Ila jua mwanamke mpaka anachepuka kuna sababu.msituonee huruma kitandani jamani.tutembezeeni moto🧚♀️🧚♀️
Kiherehere chako kilikuponza, usiwe unakagua simu ya mpenzi wako, jitahidi kumwamini maisha yasongeEmbu tukukane hapa ndugu zangu, nini kilikukuta na ulichukua uamuzi gani baada ya kukagua simu ya mpenzi wako.
Mimi nlikua nimeenda msalimu kwake kwa “Suprise” nkakuta mlango umeegeshwa tu alitoka kwenda kununua kitu shop Ndio sababu aliyonipa pindi aliporejea, aliacha simu kwenye charge nkaperuzi chap nkakuta message za kawaida isipokua moja ya malalamiko, jamaa alikua ana hoji kwanini alikua hayupo sawa Kama siku zingine kwenye mgegedo ohooh, chap nkafanya survey ya chumba nka kagua kagua bafuni na sehemu zote ntakazo pata evidence hadi kwenye sehemu anapokusanya taka taka (dustbin) nkakutana na kipisi cha condom iliotumika.
Hapo ndipo nkishiwa nguvu na kusema hawa shetani wadogo hawana huruma kabisa. Mpaka leo nkikumbuka nashtuka umpya sikutegemea kama nako kana ujanja ujanja mana kalikua kapole na kamcha Mungu Kweli Kweli nkajua nakula peke angu.
Nanukuu: kama demu wako anaishi kwake piga kifua mara 3 kisha nawewe mwaga yaliyokusibu baada ya kuperuzi simu ya mpenzi wako
TWENDE SAWA
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Na nyie pia hamjawahi kueleweka😅😅😅Nashukuru kwa kunielewa....😅
I wish I could be IGP🏇🏇Na wewe tafuta mnyonge umzibue.
Ila jua mwanamke mpaka anachepuka kuna sababu.msituonee huruma kitandani jamani.tutembezeeni moto🧚♀️🧚♀️
Umeniita mara mbili🤣🤣 in Joanah 's voice
Nakusabahi nimekumiss 😅
Yupo jamaa mmoja alichukuwa simu ya mpnz wake akanitext,,,baby mambo?
Nilipogunduwa nachat na dume.
Nikamtext kama wewe ni Farida nambie juzi tulipolala nilikojowa mbele goli ngapi na nyuma nilikojowa goli ngapi?
Jamaa akapiga simu ,, ana hema presha 300..
Akajitambulisha ni mchumba wa Farida,,nimueleze ukweli wa uhusiano wetu....
Kkkkkkk..
Ukitaka ufe mapema chunguza simu ya mpnz wako.
Na cha pekee yako hatokuja kutokea.sijui upo hapo!Lakini kupitia kihere here nikajua ni cha wote hafai
Kwema mkuuNakusabahi nimekumiss 😅
Kwema??