Upekuzi wa simu ya mpenzi wako

Upekuzi wa simu ya mpenzi wako

Umeniita mara mbili 🤣🤣

Sijawahi kweli,ama nijipe muda nitakuja kusaliti tu?
Hapana usijipe ulazima wa kusaliti mama..lkni saa zingine mwanaume hufanya mwanamke asaliti.

Hivi case kama rafiki yako kutembea na mwanaume wako na ukajua tena unajibiwa utopolo mtupu utaaacha kusaliti kweli.

Kuna wanawake wanapitia mateso ya mahusiano lkni hawawezi kusema kuwa wanachepuka😅😅

Have fun maisha ndo haya haya 🥂🥂
 
Hao wanaopinga hapa nawazoom tu lakini ukweli wanajua.

Siku serikali ikisema ni lazima kupima DNA kwa lazima kila familia....dadeki ndo hapo utakapojua wanawake ni watu wazuri mno lkni ukiwaletea mambo meusi ni miyeyusho [emoji28][emoji28][emoji28]

Ni kweli mana watu tuna chapiana haswaa sema nyie ndo mnasababisha unamuumiza mwanaume anaekupenda kwa dhati anakua mbogo anaanza kutembeza pipe Bila huruma
 
Hahahhahahaha hahahhaha mkuu Chapakila hawa viumbe waache tu kama walivyo.

Me nilibadilisha laini kisiri nilichukuwa laini yangu ambayo haitambuliki kwa wengi nikaiweka kwenye simu yake (ni simu ya laini mbili) nikatoa lain yake moja inayotumika sana nikaweka kwangu. Sasa kimbembe kilikuja usiku kumbe alikuwa ana toka na Mume wa mtu hivyo wanawasiliana usiku sana kuanzia saa7-9 /10 wapenzi wao tukiwa tumelala.Ko demu alikuwa akiwa namm anajiamin sana hadi simu yake ananipa mwenyewe coz anajua hakuna noma mpaka usiku.

Sasa mida ya saa 7 kama na dakika 16 ivi sms zikaanza kumiminika alivyoona hazijibiwi akapiga nikaamka naona namba ngeni kumbe ht hajai save kaikalili tu. Sikupokea nika pitia texts zake nikagundua na jamaa mwenyewe nikamjua. Nikasema huyu hata nikigombana nae haitasaidia mana demu mwenyewe hatukuwa kwenye mipango ya ndoa ko nikachat na yule bossi akijua anachati na mchepuko wake. Nikawa naitwa baby mara anamkandia bwana wa yule demu bila kujua ndo anaechat nae. Mikawa mpole huku naugulia maumivu moyoni nikiwa na lengo langu .Nikampiga mzinga wa laki 5 akachomoa akasema anatuma 3 asbuhi saa4 nikakaaa kimya akajua dem kanuna akaanza kubembeleza mara akajaa et basi nitakutumia 3.5 nikasema poa. Kweli jamaa asbuhi akapiga sikupokea nikamtext nipo kwenye daladala tuchat nikamsisitiza atume fast jamaa likatuma 4. Nikashuka fast kwa yule demu nikakuta ashagundua kama nilichange lain akawa na hofu ila me nikajishusha ili nipate pin yake ya m-pesa demu akatoa kwa hofu nikaihamisha ile pesa fast nikampa laini yake ndo nikamchana makavu tukaishia hapo.

Sintasahau mana dem alikuwa ashakuwa kama rafiki nje ya mahusiano tulifanya vitu vingi but laki4 zikanipooza machungu japo kwa mbaali.
 
Hahahhahahaha hahahhaha mkuu Chapakila hawa viumbe waache tu kama walivyo.

Me nilibadilisha laini kisiri nilichukuwa laini yangu ambayo haitambuliki kwa wengi nikaiweka kwenye simu yake (ni simu ya laini mbili) nikatoa lain yake moja inayotumika sana nikaweka kwangu. Sasa kimbembe kilikuja usiku kumbe alikuwa ana toka na Mume wa mtu hivyo wanawasiliana usiku sana kuanzia saa7-9 /10 wapenzi wao tukiwa tumelala.Ko demu alikuwa akiwa namm anajiamin sana hadi simu yake ananipa mwenyewe coz anajua hakuna noma mpaka usiku.

Sasa mida ya saa 7 kama na dakika 16 ivi sms zikaanza kumiminika alivyoona hazijibiwi akapiga nikaamka naona namba ngeni kumbe ht hajai save kaikalili tu. Sikupokea nika pitia texts zake nikagundua na jamaa mwenyewe nikamjua. Nikasema huyu hata nikigombana nae haitasaidia mana demu mwenyewe hatukuwa kwenye mipango ya ndoa ko nikachat na yule bossi akijua anachati na mchepuko wake. Nikawa naitwa baby mara anamkandia bwana wa yule demu bila kujua ndo anaechat nae. Mikawa mpole huku naugulia maumivu moyoni nikiwa na lengo langu .Nikampiga mzinga wa laki 5 akachomoa akasema anatuma 3 asbuhi saa4 nikakaaa kimya akajua dem kanuna akaanza kubembeleza mara akajaa et basi nitakutumia 3.5 nikasema poa. Kweli jamaa asbuhi akapiga sikupokea nikamtext nipo kwenye daladala tuchat nikamsisitiza atume fast jamaa likatuma 4. Nikashuka fast kwa yule demu nikakuta ashagundua kama nilichange lain akawa na hofu ila me nikajishusha ili nipate pin yake ya m-pesa demu akatoa kwa hofu nikaihamisha ile pesa fast nikampa laini yake ndo nikamchana makavu tukaishia hapo.

Sintasahau mana dem alikuwa ashakuwa kama rafiki nje ya mahusiano tulifanya vitu vingi but laki4 zikanipooza machungu japo kwa mbaali.

Kamanda pole sana aisee tunapitia mengi kwa hawa na kaa ukijua Kama ana mtu anamuita rafiki ake na ni wa kiume ujue jamaa anakula nae iyo haina pingamizi
 
Hahahhahahaha hahahhaha mkuu Chapakila hawa viumbe waache tu kama walivyo.

Me nilibadilisha laini kisiri nilichukuwa laini yangu ambayo haitambuliki kwa wengi nikaiweka kwenye simu yake (ni simu ya laini mbili) nikatoa lain yake moja inayotumika sana nikaweka kwangu. Sasa kimbembe kilikuja usiku kumbe alikuwa ana toka na Mume wa mtu hivyo wanawasiliana usiku sana kuanzia saa7-9 /10 wapenzi wao tukiwa tumelala.Ko demu alikuwa akiwa namm anajiamin sana hadi simu yake ananipa mwenyewe coz anajua hakuna noma mpaka usiku.

Sasa mida ya saa 7 kama na dakika 16 ivi sms zikaanza kumiminika alivyoona hazijibiwi akapiga nikaamka naona namba ngeni kumbe ht hajai save kaikalili tu. Sikupokea nika pitia texts zake nikagundua na jamaa mwenyewe nikamjua. Nikasema huyu hata nikigombana nae haitasaidia mana demu mwenyewe hatukuwa kwenye mipango ya ndoa ko nikachat na yule bossi akijua anachati na mchepuko wake. Nikawa naitwa baby mara anamkandia bwana wa yule demu bila kujua ndo anaechat nae. Mikawa mpole huku naugulia maumivu moyoni nikiwa na lengo langu .Nikampiga mzinga wa laki 5 akachomoa akasema anatuma 3 asbuhi saa4 nikakaaa kimya akajua dem kanuna akaanza kubembeleza mara akajaa et basi nitakutumia 3.5 nikasema poa. Kweli jamaa asbuhi akapiga sikupokea nikamtext nipo kwenye daladala tuchat nikamsisitiza atume fast jamaa likatuma 4. Nikashuka fast kwa yule demu nikakuta ashagundua kama nilichange lain akawa na hofu ila me nikajishusha ili nipate pin yake ya m-pesa demu akatoa kwa hofu nikaihamisha ile pesa fast nikampa laini yake ndo nikamchana makavu tukaishia hapo.

Sintasahau mana dem alikuwa ashakuwa kama rafiki nje ya mahusiano tulifanya vitu vingi but laki4 zikanipooza machungu japo kwa mbaali.
hahahaha nakupa kongole aseeee wewe ndo jemedari
 
Ni kweli mana watu tuna chapiana haswaa sema nyie ndo mnasababisha unamuumiza mwanaume anaekupenda kwa dhati anakua mbogo anaanza kutembeza pipe Bila huruma
Acheni kutusingizia aiseh.

Kama mnafanya mambo yenu huko kunasababu gani za kumuonyesha mpenzi wako?na nyie mnachangia sana.kwenye hili mtapinga najua
 
Binadamu bhana...sasa wewe umekuta kipande cha condom unalalamika..
Kama ungekuta sms kuwa analalamika kupiga game dry na anamshaka na afya yake ungefanyaje!!

Jombaaa jipige kifua cha ushindi mlokole wako anaijali afya yake na yako pia.

Usifikiri na sisi hatusikii genge babu we..
Hakuna mwanadamu asiyesaliti...hilo weka akilini🥂🥂
😂😂 Hapa umemaliza kila kitu😂
 
0a302e75c0d7163ddd595684d01e8e71.jpg
 
Hahahhahahaha hahahhaha mkuu Chapakila hawa viumbe waache tu kama walivyo.

Me nilibadilisha laini kisiri nilichukuwa laini yangu ambayo haitambuliki kwa wengi nikaiweka kwenye simu yake (ni simu ya laini mbili) nikatoa lain yake moja inayotumika sana nikaweka kwangu. Sasa kimbembe kilikuja usiku kumbe alikuwa ana toka na Mume wa mtu hivyo wanawasiliana usiku sana kuanzia saa7-9 /10 wapenzi wao tukiwa tumelala.Ko demu alikuwa akiwa namm anajiamin sana hadi simu yake ananipa mwenyewe coz anajua hakuna noma mpaka usiku.

Sasa mida ya saa 7 kama na dakika 16 ivi sms zikaanza kumiminika alivyoona hazijibiwi akapiga nikaamka naona namba ngeni kumbe ht hajai save kaikalili tu. Sikupokea nika pitia texts zake nikagundua na jamaa mwenyewe nikamjua. Nikasema huyu hata nikigombana nae haitasaidia mana demu mwenyewe hatukuwa kwenye mipango ya ndoa ko nikachat na yule bossi akijua anachati na mchepuko wake. Nikawa naitwa baby mara anamkandia bwana wa yule demu bila kujua ndo anaechat nae. Mikawa mpole huku naugulia maumivu moyoni nikiwa na lengo langu .Nikampiga mzinga wa laki 5 akachomoa akasema anatuma 3 asbuhi saa4 nikakaaa kimya akajua dem kanuna akaanza kubembeleza mara akajaa et basi nitakutumia 3.5 nikasema poa. Kweli jamaa asbuhi akapiga sikupokea nikamtext nipo kwenye daladala tuchat nikamsisitiza atume fast jamaa likatuma 4. Nikashuka fast kwa yule demu nikakuta ashagundua kama nilichange lain akawa na hofu ila me nikajishusha ili nipate pin yake ya m-pesa demu akatoa kwa hofu nikaihamisha ile pesa fast nikampa laini yake ndo nikamchana makavu tukaishia hapo.

Sintasahau mana dem alikuwa ashakuwa kama rafiki nje ya mahusiano tulifanya vitu vingi but laki4 zikanipooza machungu japo kwa mbaali.
Duuuh...mzee ukumpa ata buku tano ya vocha
 
kinachomuumiza mwanaume anapochitiwaaa na mtu anaempenda ni kule kuwaza inamaana simridhishi ndo maana anachit, pia unapowaza ule ufanyikaji wa lile tendo ndo nguvu huisha unawaza yawezekana kageuzwa geuzwa kama chapati kuliko navomgeuzaga mimi dah! yaani ni full kuwaza ujinga

Acha kutonesha vidonda vya watu
 
Hahahhahahaha hahahhaha mkuu Chapakila hawa viumbe waache tu kama walivyo.

Me nilibadilisha laini kisiri nilichukuwa laini yangu ambayo haitambuliki kwa wengi nikaiweka kwenye simu yake (ni simu ya laini mbili) nikatoa lain yake moja inayotumika sana nikaweka kwangu. Sasa kimbembe kilikuja usiku kumbe alikuwa ana toka na Mume wa mtu hivyo wanawasiliana usiku sana kuanzia saa7-9 /10 wapenzi wao tukiwa tumelala.Ko demu alikuwa akiwa namm anajiamin sana hadi simu yake ananipa mwenyewe coz anajua hakuna noma mpaka usiku.

Sasa mida ya saa 7 kama na dakika 16 ivi sms zikaanza kumiminika alivyoona hazijibiwi akapiga nikaamka naona namba ngeni kumbe ht hajai save kaikalili tu. Sikupokea nika pitia texts zake nikagundua na jamaa mwenyewe nikamjua. Nikasema huyu hata nikigombana nae haitasaidia mana demu mwenyewe hatukuwa kwenye mipango ya ndoa ko nikachat na yule bossi akijua anachati na mchepuko wake. Nikawa naitwa baby mara anamkandia bwana wa yule demu bila kujua ndo anaechat nae. Mikawa mpole huku naugulia maumivu moyoni nikiwa na lengo langu .Nikampiga mzinga wa laki 5 akachomoa akasema anatuma 3 asbuhi saa4 nikakaaa kimya akajua dem kanuna akaanza kubembeleza mara akajaa et basi nitakutumia 3.5 nikasema poa. Kweli jamaa asbuhi akapiga sikupokea nikamtext nipo kwenye daladala tuchat nikamsisitiza atume fast jamaa likatuma 4. Nikashuka fast kwa yule demu nikakuta ashagundua kama nilichange lain akawa na hofu ila me nikajishusha ili nipate pin yake ya m-pesa demu akatoa kwa hofu nikaihamisha ile pesa fast nikampa laini yake ndo nikamchana makavu tukaishia hapo.

Sintasahau mana dem alikuwa ashakuwa kama rafiki nje ya mahusiano tulifanya vitu vingi but laki4 zikanipooza machungu japo kwa mbaali.
Safi
 
Back
Top Bottom