Hakuna mwanadamu asiyesaliti...hilo weka akilini🥂🥂
Na wewe tafuta mnyonge umzibue.Basi muweke wazi sio mnajidai walokole kumbe mnabinua mauno tu mtatuuwa nyie na vizibo vyenu hivyo
Yule nimempiga chini...Rafiki umeshaanza kuishi nyumba moja na yule nusu rafiki yako?[emoji6][emoji6][emoji6]
Na wewe tafuta mnyonge umzibue.
Ila jua mwanamke mpaka anachepuka kuna sababu.msituonee huruma kitandani jamani.tutembezeeni moto[emoji3344][emoji3344]
Na nyie msituumize makusudi.Kama umeamua kua kwenye mahusiano kwanin usitulie ka uwezi Kwanin uteke moyo wa mtu ili umuuumize? Kutombewa kuna uma nyie Hata kama alivaa ndom bado kapita napopita mimi
Sijawahi.. natumaini sitokuja kufanya hivo hata iwaje.Kwa mwanaume ni kawaida na hakuna mwanaume rijali na inafahamika Ila tatizo nyie siku hizi mmetuzidi hadi sisi na matukio hayo, swali wewe hujawai leta mwanaume kwako tofauti na mpenzi wako?
Joanah joanah..😁😁😁😁😁For real?
Mie mbona sijawahi kusaliti my wangu?ama sipo kwenye kipengele cha binadamu 😁
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule nimempiga chini...
Nataka nipange nyumba moja na wewe..au hutaki kupanga na jinsia ke
Sijawahi.. natumaini sitokuja kufanya hivo hata iwaje.
Joanah joanah..😁😁😁😁😁
Nidanganye ili nionekane vipi labda... Sikulazimishi kuniamini[emoji6]Kama wew ni mwanamke na ushawai ishi peke ako aah ukweli unao mwenyewe baki nao kifuani sisi tunaoishi nao tunajua yanatoendelea hata kama sio hapo kwako basi kuna mahali tu utaenda kupata huduma “uhuru” Ndio kipimo cha mwanamke wengi kupitia uhuru huu ndo mnachakazwa haswa na huko huko ndipo mnaanza mahusiano, usitudanganye
Hao wanaopinga hapa nawazoom tu lakini ukweli wanajua.Ningekua mzembe Sawa ila bora wew upo muwazi sasa wenzio wanajidai wakimya wapole walokole ila wanatupiga dana dana unajua kila mwanaume anajiweka mahali anaona yupo safe yani mtu katulia kumbe Hamna kitu ukigeuka tu watu wammshikisha ukuta
Na wewe ni binadamu?Hakuna mwanadamu asiyesaliti...hilo weka akilini🥂🥂