Updates: Zoezi la kupiga kura - Arumeru East

Status
Not open for further replies.
Unaumwa wewe..pumbavu.Sheria ya uchaguzi inaruhusu watu kukaa umbali wa mita 100-200.
 
unatakiwa kusubiri matokeo ukiwa nyumbani kwako na sio kuwepo maeneo ya kupigia kura huo ndio utaratibu wa uchaguzi

Wasubiri matokeo nyumbani ili mchakachue? Ndo zenu hizo leo hakuna kusubiri matokeo nyumbani watenda nyumbani baada ya matokeo ya kila kituo kutangazwa na kubandikwa.
 
wamechelewa mpiria umepita mstari tayari, weka kati. CCM imekula kwenu.................
 
Hivi ile Nembo ya CHADEMA kwenye Helikopta wameitoa??? Maana Kama bado ipo tutakuwa tumekosea.
 
helikopta hiyo kama in nembo ya chadema basi tume wako sahihi. haziruhusiwi hata sare za chama eneo la upigaji kura sembuse chopa yenye bango la chama?
acha mawazo mfu wewe hivi helkopita ni nembo ya chadema kewli?au unajiropokea tu na hujui hata maana ya nembo.tatizo lenu magamba mliuo wengi kama akina mji marefu mmekomea la saba felia.huna jipya kajipange upya!
 
NEC NEC NEC NEC hivi kuna sheria za uchaguzi zinazotambua aina gani ya usafiri utumike kwenye uchaguzi,nao kichwa kichwa wanakubali kutetea,mambo mengine uzalendo kwa Nchi manake Nchi itabaki vyama vitakufa.
 
tasfiri ya mita 100 ni sawasawa na kuwa nyumbani kwako, sasa unakaa barabarani na vikundi haramu ili iweje? Kuonyesha alama ya v katika siku ya uchaguzi nayo ni sawa? Wasiwasi wa nini? Be in ur house guys
kichwa chako kiko sawa?
 
mkuu umekua ukitupa update kipindi chote cha campaign mambo yanavyojili kwenye mikutano na vitu kama hivyo lakini leo mkuu tangu asubuhi napitia thread zote sijaona update za uhakika mkuu vipi upo uko? na hali ikoje mpaka sasa?
 
habari kutoka Arumeru ni kuwa baadhi ya wanachama wa chadema wamekiuka agizo la IGP la kwenda nyumbani baada ya kupiga kura zao,wamekuwa wakiranda randa na kuonyesha alama ya V kwa watu walio katika foleni za kupiga kura ktu ambacho ni kinyume cha taratibu za uchaguzi! hii inatasfiriwa kuwa ni kulichokoza kwa makusudi jeshi la polisi ili wakichukua hatua kali ionekane wanaonewa

Uspotoshe uma mkuu sisituko hapa hakuna swala kamahilo uwepo wawatu kweli wapo wanalinda kura zao.hiyo yakuonyesha alama ya v niuongo.ccm wamekamatwa wangapi leo mbona hilohusemi?
 
Kama huyakumbuki mbona umeyaandika (7)? kwa hesabu yako ambayo huyakumbuki ni makumi na mamoja. Kuwa makini.
zomba bwana, haya nitaandika tena! jumla ya wapiga kura wa arumeru ni 127xyz. Hizo sehemu za mamia (x), makumi (y) na mamoja (z) sizikumbuki. samahani kwa usumbufu!
 
Wadau na Wapambanaji wa Haki;

Kama kawaida ya changuzi zote zinazofanyika, magamba maji yapo shingoni, wanahofia kushindwa, wameandaa kundi la wezi wa uchaguzi kuhujumu kura, na habari za hivi punde toka kwa Renatus Mtabuze - ITV (Arumeru Mashariki) amesema kundi hilo la CCM wakiongozwa na mama mmoja, baada ya kupitia vituo kadhaa na kugundulika na kuzibitiwa, limeingia ktk kituo cha Maji ya Chai, ambapo wamejitetea wanaenda kuwalipa mawakala wa SAU, kumbe hakuna hata mshiriki wakala wa SAU ktk kituo hicho, ndio walipozuiwa na Mwongozaji wa kituo hicho, Mama-Nko, walimwendea Mkiti wa CCM na kumunongoneza ufidhuli wao kutaka kuwavuruga vijana wa Chadema waliokuwa wanalinda kura eneo hili. Walipogundulika waliondoka, na baadae wakarudi ktk gari, watu wamevaa hijab, na mavazi ya kimaasai, ndio walipogundulika, Vijana wa Chadema wakawadhibiti kwa kuvurumisha mawe, baadhi wakakimbia ila yule mama 'kuwadi' amewekwa chini ya ulinzi wa polisi kwenda kuhojiwa...(source ITV, Uchaguzi Arumeru Mash)

Swali: Je polisi sio 'watumwa' wa Magamma? si wataachie mission ziendelee??

Tunaomba Chadema Arumeru Mash, wazidi kuwa imara, ushindi unalindwa kwa nguvu zote...'Tusiwaache Magamba waibe, hali ni mbaya, waacheni wafu wazike wafu wao'
 
kwani wakitumia helicopter wanagonga watu huko angani? wanasababisha usumbufu gani unaoikera tume ya uchaguzi au kulinda kura kwao ni kero? hatukubali hakiamungu safari hii mpaka kieleweke wasituletee umagamba wao hapa pu***f
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom