Jidundufila
Member
- Nov 2, 2010
- 86
- 11
Jamani malusinde tuwaachie wenyeweMalusinde ya nini?
Jamani malusinde tuwaachie wenyeweMalusinde ya nini?
ninavyofahamu mimi REV (mchungaji kiongozi) mtu anapata pale amehitimu shule ya uchungaji na si cheo kwa kupewa kama ilivyo neno pastor. Hii inalingana na mtu akihitimu shahada ya uzamivu (PhD) anapoitwa Dr.(PhD). Kama kweli alisoma na kuhitimu masomo ya uchungaji iko pouwa kama sivyo ni kosa
watu 72+43 bado wanafikiri kimkundumkundu.
enzi hizi siyo za kuchagua ccm.
fungukeni nyie mafala!
na alisema atatembea uchi kuanzia posta hadi kimara bonyokwa
kata ya mbuguni.
kituo cha msufini CDM131 ,ccm 72
s/m mbuguni CDM 96 ,CCM 43
Baada ya muda si mrefu mtakimbia humu Jukwaani! what matters nani ataishia kucheka mwishoni mwa sakata hili la uchaguzi...kwa sasa CDM uwanja wenu, itumieni JF yenu vizuri! baadaye tutabaki wachache sana humu ndani!!Bangi ikiota inakuwa na rangi ganiiiiiiiiiiii????????????????
Naomba Rejao anijibu!
We mngoni sijakusoma hapo; kuwalisheni matango pori namna gani na wakati hili limewasilishwa na wanahabari mbalimbali walioko huko AM kupitia kituo cha ITV na wala sijalitoa majalalani
Jibu lenu hili hapa chini! Turudi Arumeru wakuu!
Baada ya muda si mrefu mtakimbia humu Jukwaani! what matters nani ataishia kucheka mwishoni mwa sakata hili la uchaguzi...kwa sasa CDM uwanja wenu, itumieni JF yenu vizuri! baadaye tutabaki wachache sana humu ndani!!
Baada ya muda si mrefu mtakimbia humu Jukwaani! what matters nani ataishia kucheka mwishoni mwa sakata hili la uchaguzi...kwa sasa CDM uwanja wenu, itumieni JF yenu vizuri! baadaye tutabaki wachache sana humu ndani!!
Hakuna kituo kilichobandika matokeo acheni kurusha roho watu.
Siyo anayotoka mgombea wao tu wawe makini na kata zote hasa za vijijini ndani kule milimani.Mungu mkubwa cha msingi chadema wawe makini na kata ya mgombea wa ccm huwa awachelei kuiba sehemu ambayo mgombea wao anatoka