Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Mbunge kiwia aliyejeruhiwa mwanza jana na wana ccm sasa hivi anapumulia mashine....tuendelee kumuombea........
Oh dear God. Mponye haraka mbunge wetu
Mbunge kiwia aliyejeruhiwa mwanza jana na wana ccm sasa hivi anapumulia mashine....tuendelee kumuombea........
Mbunge kiwia aliyejeruhiwa mwanza jana na wana ccm sasa hivi anapumulia mashine....tuendelee kumuombea........
Mbunge kiwia aliyejeruhiwa mwanza jana na wana ccm sasa hivi anapumulia mashine....tuendelee kumuombea........
Wewe uko kwenye vituo vyote 327.Hakuna kituo kilichobandika matokeo acheni kurusha roho watu.
Vituo vya Usariver A na B CCM inaongoza.
Source Mlimani TV now!!
Vituo vya Usariver A na B CCM inaongoza.
Source Mlimani TV now!!
Mi ntakuwa nacompile matokeo. Rejao kazi yako iwe kujumlisha.
Kituo cha msufini CDM131,CCM 72
S/M Mbuguni CDM 96 ,CCM 43
Leganga kituo cha kwanza CDM 126 (142), CCM 26
wapo radio wametangaza vituo vitatu chadema wanaongoza katika vituo vyote hivyo kwa margin kubwa sana
Kuna taarifa kwamba hakuna mkono wa kisiasa katika kujeruhiwa kwake, inasemekana ni ugomvi wa kudhulumiana, tusubiri uchunguzi wa polisi.
Kuna taarifa kwamba hakuna mkono wa kisiasa katika kujeruhiwa kwake, inasemekana ni ugomvi wa kudhulumiana, tusubiri uchunguzi wa polisi.
Vituo vya Usariver A na B CCM inaongoza.
Source Mlimani TV now!!
Vituo vya Usariver A na B CCM inaongoza.
Source Mlimani TV now!!