Tensheni gani tena Mkuu? minipo kitaa cha USA naona Wakinamama na Wazee ndo wanajitokeza kwa wingi sana cjui hali ikiendelea hivi matokeo yake yatakuwaje?
kuna tension maeneo ya maji ya chai!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna tension maeneo ya maji ya chai!
Hata mkishindwa muachiwe jimbo? Kichekesho cha mwaka.
Wezi ni wezi tu hata wakija wamevaa ngozi ya kondoo, wanabaki ni wezi tu.Haha, they are playing with pipo minds. Kura zikiibwa, watatoa evidence kuwa wanaheshimu matokeo na "mwenyekiti" wanted a fair game, haha. Sasa kwanini masanduku ya kura yamekamatwa??? Na ni kwanini waliongeza vituo hea vya kupigia kura? Kama "they aimed a fair game"
Kichenchede!!!Hata mkishindwa muachiwe jimbo? Kichekesho cha mwaka.
Kweli mkuu...hapa ndo najiandaa kuanza safari kuelekea USA River kulinda kuraHiyo inaitwa danganya toto ili watu wabweteke walizwe...
Tumeshtuka ndugu, ulinzi wa kura uko palepale tena hadi kwa helikopta. Kucheka na ccm ni sawa na kucheka na nyani shambani kwako
Sasa na wewe unakuwa kama kipofu umeambiwa kama wakishinda, inamaana kushinda na kushindwa kwa CDM vyote ni sawa kwako?Hata mkishindwa muachiwe jimbo? Kichekesho cha mwaka.
Sasa na wewe unakuwa kama kipofu umeambiwa kama wakishinda, inamaana kushinda na kushindwa kwa CDM vyote ni sawa kwako?
Yamesemwa na mh.kutoka magogoni,kwamba iwapo CHADEMA watashinda basi waachwe wachukue jimbo.. Nanukuu "...iwapo CHADEMA watashinda waacheni..sitaki matatizo yatokee.."
habari hii nimedokezwa na chanzo makini.
Nani kasema hata tukishindwa? Mbona povu linakutoka mapema hivi au ndio kusema kauli ya mzee wa magogoni imekukatisha tamaa? Vumilia ndugu yangu huu mkuki wa leo mchungu lakini wenye matumaini..Hata mkishindwa muachiwe jimbo? Kichekesho cha mwaka.
Tensheni gani tena Mkuu? minipo kitaa cha USA naona Wakinamama na Wazee ndo wanajitokeza kwa wingi sana cjui hali ikiendelea hivi matokeo yake yatakuwaje?
Jumla ni watu 12700 hii ni kadirio la karibu kabisa, yale mamia, makumi na mamoja siyakumbuki mkuu!!
Watu 80,000 ni mtaji wa CCM 47,000 watagawana CDM na vyama vingine.
rudia kusoma hapo juu