Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, kutokana na hali ya hewa kubadilika na mvua kuwa chache nimeona ni bora tupeane updates za maendeleo ya Mazao hapa nchini ili watu wajipange kwa kununua Mazao sehemu yatakapopatikana kwa wingi
Huku maeneo ya Tanga hasa maeneo ya Muheza naona kama mvua ishakimbia na Mahindi yameachwa stages ambayo si Rafiki, yameachwa mengi yakiwa na umri wa mwezi mmoja na wakulima wengi wamepanda Mbegu za kienyeji ambazo zinachukua mpaka siku 120 mpaka kukomaa
Vip eneo lako Mazao yanaendaje?
Huku maeneo ya Tanga hasa maeneo ya Muheza naona kama mvua ishakimbia na Mahindi yameachwa stages ambayo si Rafiki, yameachwa mengi yakiwa na umri wa mwezi mmoja na wakulima wengi wamepanda Mbegu za kienyeji ambazo zinachukua mpaka siku 120 mpaka kukomaa
Vip eneo lako Mazao yanaendaje?