Updates za Mazao ya msimu wa 2022

Nimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Shea gharama uluzotumia itasaidia kwa wale wenye mpango wa kufanya hivyo
 
Nimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Hongera sana..

Ingependeza picha tuone huo mfumo wa umwagiliaji.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Na sisi wakaazi tuliombali na water source
 
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, kutokana na hali ya hewa kubadilika na mvua kuwa chache nimeona ni bora tupeane updates za maendeleo ya Mazao hapa nchini ili watu wajipange kwa kununua Mazao sehemu yatakapopatikana kwa wingi

Huku maeneo ya Tanga hasa maeneo ya Muheza naona kama mvua ishakimbia na Mahindi yameachwa stages ambayo si Rafiki, yameachwa mengi yakiwa na umri wa mwezi mmoja na wakulima wengi wamepanda Mbegu za kienyeji ambazo zinachukua mpaka siku 120 mpaka kukomaa

Vip eneo lako Mazao yanaendaje?
Kwa wadau watakao hitaji mazao kama mahindi, ufuta, mbaazi na soya na wako serious tuchekiane ... nipo mgodini kwa bei nafuu sanaa
 
Na sisi wakaazi tuliombali na water source
Your life, your purpose. Proper planning prevent poor performance. Tanzania is a very big country with a lot of potentials including agricultural ones; and most of them are yet to be exploited. You may work out to explore andv utilize ground water which may give you similar results as current water. Your family chain start with you!
 
Hongera sana..

Ingependeza picha tuone huo mfumo wa umwagiliaji.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Niko mbali na shamba hivyo picha wakati wa kumwagilia kwa sasa sina isipokuwa mfumo niliotumia wa umwagiliaji ni very simple. Umwagiliaji kwa sasa haifanyiki cause mahindi yamekomaa yakiendelea kukauka tayari kwa kuvunwa. Shamba linapakana na mto mkubwa usiokauka mwaka mzima hivyo nachofanya ni kulekeza pipes mtoni na kuchukua maji na kumwagilia kwa mashine inyorusha juu na kufanya mazao kama yananyeshewa mvua. Mashine hii kwa Tanzania inauzwa around milioni 40. Haina complication. Ni simple kabisa.
 
Back
Top Bottom