Nimenunua mchele Kyela sh 34,000 kwa kilo 20 mpya, mchele wa zamani sh 39,000Mlioanza kuvuna mpunga bei gani debe..mchele bei gani na karanga bei gani kilo au debe.?
#MaendeleoHayanaChama
Shea gharama uluzotumia itasaidia kwa wale wenye mpango wa kufanya hivyoNimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Hongera sana..Nimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Asante kwa taarifaNimenunua mchele Kyela sh 34,000 kwa kilo 20 mpya, mchele wa zamani sh 39,000
MMU ndo nyuzi gani hizo...???Ukitaka kujua akili za wabongo zipo upande gani nenda ka views nyuzi ya MMU.
#MaendeleoHayanaChama
Achabkututisha mkuuMwakaa huu hali ni tete.
Ipo mkoa gani hiyo broKwa Gairo milimani huku kwenye maeneo ya njungwa bado mvua zinapita pita tuna maharage, mpaka mwezi july mwanzo tutakua tunavuna
Na sisi wakaazi tuliombali na water sourceNimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Mmmh! Kama huko bei iko hivi sasa, kufikia Desemba hali itakuwa tete zaidi.Nimenunua mchele Kyela sh 34,000 kwa kilo 20 mpya, mchele wa zamani sh 39,000
Kwa wadau watakao hitaji mazao kama mahindi, ufuta, mbaazi na soya na wako serious tuchekiane ... nipo mgodini kwa bei nafuu sanaaHabari wakulima na wafugaji wenzangu, kutokana na hali ya hewa kubadilika na mvua kuwa chache nimeona ni bora tupeane updates za maendeleo ya Mazao hapa nchini ili watu wajipange kwa kununua Mazao sehemu yatakapopatikana kwa wingi
Huku maeneo ya Tanga hasa maeneo ya Muheza naona kama mvua ishakimbia na Mahindi yameachwa stages ambayo si Rafiki, yameachwa mengi yakiwa na umri wa mwezi mmoja na wakulima wengi wamepanda Mbegu za kienyeji ambazo zinachukua mpaka siku 120 mpaka kukomaa
Vip eneo lako Mazao yanaendaje?
MoroIpo mkoa gani hiyo bro
Weka bei zake hapa wapime ndio wakuchekiKwa wadau watakao hitaji mazao kama mahindi, ufuta, mbaazi na soya na wako serious tuchekiane ... nipo mgodini kwa bei nafuu sanaa
Your life, your purpose. Proper planning prevent poor performance. Tanzania is a very big country with a lot of potentials including agricultural ones; and most of them are yet to be exploited. You may work out to explore andv utilize ground water which may give you similar results as current water. Your family chain start with you!Na sisi wakaazi tuliombali na water source
Niko mbali na shamba hivyo picha wakati wa kumwagilia kwa sasa sina isipokuwa mfumo niliotumia wa umwagiliaji ni very simple. Umwagiliaji kwa sasa haifanyiki cause mahindi yamekomaa yakiendelea kukauka tayari kwa kuvunwa. Shamba linapakana na mto mkubwa usiokauka mwaka mzima hivyo nachofanya ni kulekeza pipes mtoni na kuchukua maji na kumwagilia kwa mashine inyorusha juu na kufanya mazao kama yananyeshewa mvua. Mashine hii kwa Tanzania inauzwa around milioni 40. Haina complication. Ni simple kabisa.Hongera sana..
Ingependeza picha tuone huo mfumo wa umwagiliaji.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina imani bei itashuka maana ndio kwanza wanaanza kuvuna.Mmmh! Kama huko bei iko hivi sasa, kufikia Desemba hali itakuwa tete zaidi.
Bora iwe hivyo!Nina imani bei itashuka maana ndio kwanza wanaanza kuvuna.
Uko wapi na bei ikoje huko?Kwa wadau watakao hitaji mazao kama mahindi, ufuta, mbaazi na soya na wako serious tuchekiane ... nipo mgodini kwa bei nafuu sanaa