Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,741
- 17,992
Alafu hizi comments zimeshamiri sikuhizi. Mijadala ya serious msiwe mnaandika hivi pleaseWanaolima bangi wana comment wapi?
Alafu hizi comments zimeshamiri sikuhizi. Mijadala ya serious msiwe mnaandika hivi pleaseWanaolima bangi wana comment wapi?
Ukitaka kujua akili za wabongo zipo upande gani nenda ka views nyuzi ya MMU.Hizi Ndio thread za maana Sana ila Kwa kulogwa watanzania hutaona wakichangia
Kabisa, uzi bora sana huu tatizo watu wako bize na kiki za Zuchu na Diamond utazani ndo chakula watakachokula.Hizi Ndio thread za maana Sana ila Kwa kulogwa watanzania hutaona wakichangia
Try to be serious mkuuWanaolima bangi wana comment wapi?
Bei ya mpunga ikoje mkuuAfadhali ya nyie kama mtavuna kidogo wengne kwenye mpunga tumekula za kichwa mazima aisee... alaf ndio bei ya mpunga kubwa hatar.
Ngoja tukanunue tu alzeti ili tufidie hasara japo nao mwaka huu wameanza na bei kubwa balaa.
Bei ya mpunga ikoje mkuuAfadhali ya nyie kama mtavuna kidogo wengne kwenye mpunga tumekula za kichwa mazima aisee... alaf ndio bei ya mpunga kubwa hatar.
Ngoja tukanunue tu alzeti ili tufidie hasara japo nao mwaka huu wameanza na bei kubwa balaa.
Bei ya mpunga ikoje mkuuAfadhali ya nyie kama mtavuna kidogo wengne kwenye mpunga tumekula za kichwa mazima aisee... alaf ndio bei ya mpunga kubwa hatar.
Ngoja tukanunue tu alzeti ili tufidie hasara japo nao mwaka huu wameanza na bei kubwa balaa.
Mkuu mpunga bei ganiAfadhali ya nyie kama mtavuna kidogo wengne kwenye mpunga tumekula za kichwa mazima aisee... alaf ndio bei ya mpunga kubwa hatar.
Ngoja tukanunue tu alzeti ili tufidie hasara japo nao mwaka huu wameanza na bei kubwa balaa.
Mwaka dume huuuMwakaa huu hali ni tete.
Debe ni 10000 kamsambaMlioanza kuvuna mpunga bei gani debe..mchele bei gani na karanga bei gani kilo au debe.?
#MaendeleoHayanaChama
Ni mkoa gani huo?.. kukodi Ekari beigani?!Nimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Morogoro, shamba ni la kwangu nilinunua takribani miaka takribani 15 iliyopita. Ila cheki na waliopo mikoa ya pwani along Rufiji River. Unaweza kubahatisha good deal. Na mimi nikisikia nitakucheki pia.Ni mkoa gani huo?.. kukodi Ekari beigani?!
Ahsante mkuuMorogoro, shamba ni la kwangu nilinunua takribani miaka takribani 15 iliyopita. Ila cheki na waliopo mikoa ya pwani along Rufiji River. Unaweza kubahatisha good deal. Na mimi nikisikia nitakucheki pia.
Mkuu kuna gunia la debe 7?