Farm with Davido
Member
- Nov 18, 2022
- 49
- 43
Yapo, ila hua ni makubaliano kati ya mkulima na mnunuzi na pia bei hua tofauti kdg na gunia la debe 6.Mkuu kuna gunia la debe 7?
Yapo, ila hua ni makubaliano kati ya mkulima na mnunuzi na pia bei hua tofauti kdg na gunia la debe 6.Mkuu kuna gunia la debe 7?
Safi sana mkuu, ukihitaji acres za kuongeza za mashamba ya umwagiliaji. Karibu Malolo - mikumi wilayani Kilosa nakodisha mashamba ya umwagiliaji. Maji ni 24/7Nimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.
Hivi zao la ufuta sasa hivi bei zimekaaje? Mana kuna kipindi ulivuma huo...!Kwa sasa baadhi ya mazoa kwa SONGEA -Ruvuma yameanzwa kuvuna ikiwemo ufuta,soya , mpunga na mahindi.Kwa upande wa maharage kwa soko la sodeko yanaonekana yapo mengi na kufanya Bei Hadi wiki iliyopita unaweza pata kwa Tsh 1000
Kwa kuuza ni kiasi gani? Mazao gani yanakubaliSafi sana mkuu, ukihitaji acres za kuongeza za mashamba ya umwagiliaji. Karibu Malolo - mikumi wilayani Kilosa nakodisha mashamba ya umwagiliaji. Maji ni 24/7
0688 476 770
Unaendelea kuvuma tu haujawahi kuwa uwekezaji mbaya isipokuwa aina ya ufuta ndio tatizo. Ufuta wenye bei nzuri ni ulemweupeeee peeHivi zao la ufuta sasa hivi bei zimekaaje? Mana kuna kipindi ulivuma huo...!
Yap, Kuna kipindi bei zliyumba sn lakin.Unaendelea kuvuma tu haujawahi kuwa uwekezaji mbaya isipokuwa aina ya ufuta ndio tatizo. Ufuta wenye bei nzuri ni ulemweupeeee pee
Ya kuuza yanatokeaga japo mara chache sn (If ur interested ntakuangalizia.) Mazao karibu yote yanakubali (Nyanya, hoho, vitunguu, mahindi, tikiti, migomba, miwa) kasoro yale yanayoweza kustawi sehem za baridi. Mana huku ni ukanda wa joto.Kwa kuuza ni kiasi gani? Mazao gani yanakubali
Mahindi na maharage mkuu (acre btn 50-100) could be perfect. Muhimu bei iwe ya kinyonge.Ya kuuza yanatokeaga japo mara chache sn (If ur interested ntakuangalizia.) Mazao karibu yote yanakubali (Nyanya, hoho, vitunguu, mahindi, tikiti, migomba, miwa) kasoro yale yanayoweza kustawi sehem za baridi. Mana huku ni ukanda wa joto.
Naam, ufuta, alizeti unaweza kabisa kulima kwa kumwagilia. Si mazao ya msimu kama mahembe pori. Kuyumba kwa bei ya ufuta ni tatizo la taarifa tu. Bei ya ufuta msimu wote ni nzuri isipokuwa shida yake wateja wanajitikeza kwa wingi msimu wa mavuno kwa wengi. Kwasababu soko kubwa ni nje ya nchi, ni vigumu kupata mteja baada ya msimu kwasababu kiasi cha ufuta kitakachokuwepo huenda kisiwe economically viable kusafirisha nje (meli).Yap, Kuna kipindi bei zliyumba sn lakin.
Mkuu unaweza kulima hili zao kwa kumwagilia? Halaf ni kipindi gani bei yake inakuaga nzr zaidi?
Shukrani kwa taarifa, naomba kujua kwa msimu huu ufuta mmeuza bei gan? Na unaposema wakat wa mavuno unamaanisha ule mwezi wa sita, saba, nane au sio?Naam, ufuta, alizeti unaweza kabisa kulima kwa kumwagilia. Si mazao ya msimu kama mahembe pori. Kuyumba kwa bei ya ufuta ni tatizo la taarifa tu. Bei ya ufuta msimu wote ni nzuri isipokuwa shida yake wateja wanajitikeza kwa wingi msimu wa mavuno kwa wengi. Kwasababu soko kubwa ni nje ya nchi, ni vigumu kupata mteja baada ya msimu kwasababu kiasi cha ufuta kitakachokuwepo huenda kisiwe economically viable kusafirisha nje (meli).
Hata hivyo, ufuta wenye soko na bei nzuri ni ule mweupe na umefanyiwa grading vizuri.
Bei ilianza 2900+hadi 3330+ kwa bei za vyama vya ushirika kwa wakulima. Kulikuwapo waliokuwa wakinunua Dar bei ilikuwa Kati ya 3000~3800. Pia kuna kampuni zilitoka pakistani na vietnam wenyewe walikuwa wakinunua kwa 5000 (hata ukiwa na tani ngapi). Tatizo la hawa walikuwa interested na high quality ambao hauna ukungu hata kidogo, hauna mchanga na mweupe tu. YesShukrani kwa taarifa, naomba kujua kwa msimu huu ufuta mmeuza bei gan? Na unaposema wakat wa mavuno unamaanisha ule mwezi wa sita, saba, nane au sio?
Mh! Mazao yenye process ya vyama vya ushirika hua nayaogopa (saisa nyingi)Bei ilianza 2900+hadi 3330+ kwa bei za vyama vya ushirika kwa wakulima. Kulikuwapo waliokuwa wakinunua Dar bei ilikuwa Kati ya 3000~3800. Pia kuna kampuni zilitoka pakistani na vietnam wenyewe walikuwa wakinunua kwa 5000 (hata ukiwa na tani ngapi). Tatizo la hawa walikuwa interested na high quality ambao hauna ukungu hata kidogo, hauna mchanga na mweupe tu. Yes
Upo mkoa gaani? Mi ninayo .Naulizia Soyabeans wapi nitapata na bei iko vipi.?
Apa nimekumbuka msemo fulani "Mazao yanahitaji Maji sio Mvua"Nimefanya majaribio ya kulima acre 25 za mahindi kwa njia ya umwagiliaji. So far mahindi yapo hatua ya kukomaa tayari kuvunwa mwezi Juni yakiwa na afya njema kabisa. Nimebaini kilimo kinahitaji umwagiliaji sio vinginevyo. Mwakani Mungu akipenda napiga acre100.