Hawashikani mikono lakini wanaenda mazungumzo chumba kimoja chenye A.C.Kinachonisikitisha zaidi ni pale wanaposisitiza watu kutokushikana mikono lakini wanaongea na ku badilishana hewa na ugonjwa unaambukizwa sana kwa njia ya hewa.
Bagwell
Bill Gates katabiri vifo milion kumi kama virus vya huu ugonjwa vikifanikiwa kupenya Africa.. Manake hatufanyi juhudi zozote zaidi ya matamko yasiyo na tija2.. Na mengi yakiwa ni ya kisiasa zaidi
Jr[emoji769]
Kama huna faida ni weweTo me hata Africa ikawa wiped out completely sawa tu! Tuna faida gani?
Kama una faida n wewe alone mkuu,ila mim najivunia kuwa mwafrika na Nina faida mbele za Mungu.Elimu ya wazungu imeathiri ubongo wako Hadi hujitambui who you areTo me hata Africa ikawa wiped out completely sawa tu! Tuna faida gani?
Ni last week tu nimejiskia hizo hali i swear huwezi hata kula,unakohoa,huku kamasi,mara mgongo unauma,pumzi inabana,kichwa inauma kooni hapo balaa.Huu ugonjwa ulishapita nchini November December na January and population sasa iko immune. Yale mafua hatari wengi walihisi ni malaria fulani, ukienda hospitali hamna kitu kwa kuwa hatuna vipimo vya hawa virusi katika zahanati zetu. Mungu tu anasaidia.
Aliye nacho huongezewa na acha waongezewe. Sijui ikiwa hili tukio afya walieleza ilikuwa nini zaidi ya kusema stay hydrated. Kila kitu kiliuma vibaya hadi mifupa na kukosa nguvu kabisa. Una-sweat hadi hujawahi ona na hadi maumivu makali sehemu za kiuno na uti wa mgongo, kikohozi, ukiacha koo kuwasha na homa kali ssana inayodumu kwa siku tatu na kisha inaishia zake unarudia kazi.
Unajisikia kufa kufa. Kwa aliyeugua pia kipindi hiki ajieleze alivyojisikia haya mafua yalikuwa hatari na afya walikaa kimya nafikiri. Ingekuwa una kitu kama diabetes unapita kwa ile dehydration na homa kali balaa.
Waafrika nafikiri wana kinga ya mafua mengi linapokuja jambo la virusi vya mafua na pengine hata hii CORONA. Nawaza na kuunganisha dots tu.
Usidanganywe.Tuliopo Mikoa ya kaskazini nawakumbusha tu nyuzijoto ni 21-23°C halafu virusi havikai kwenye nyuzijoto 30.
Muda wa kukimbilia Dar huu
Iran wako kwa kipupwe now mkuu 17°C tehranUsidanganywe.
Australia na Iran mbona kina joto na mdudu yupo?
Wewe zingatia maelekezo ya wizara ya afya
Tuombe Mungu hili lisitokee.. Watz hatuna utamaduni wa kuhifadhi chakula ndani ama kuwa na hakiba ya dharuraZaidi fikiria siku serikali itakapotamka watu kubaki majumbani ili kudhibiti kasi ya maambukizo. Wengi wanaoishi hand to mouth(asilia mia kubwa ya watanzania) watapata shida kubwa kweli kweli.