CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Sisi tuna point46,magori 50 ya kufunga na13 ya kufungwa,wao wana point50,magori 43ya kufunga na 13 ya kufungwa!
Sisi tuna point46,magori 50 ya kufunga na13 ya kufungwa,wao wana point50,magori 43ya kufunga na 13 ya kufungwa!
hongera yanga kwa ushindi na kutufanya azam fc kuwa na presha zahali ya juu hapo juu ya msimamo wa ligi..
#AzamFor2014
Pamoja na kuwa Mimi ni shabiki wa yanga, lakini nawaombea Azam wachukue kombe watuwakilishe kwenye kombe la mabingwa
Pamoja na kuwa Mimi ni shabiki wa yanga, lakini nawaombea Azam wachukue kombe watuwakilishe kwenye kombe la mabingwa
unamkuta kijana mdogo anashabikia simba au yanga.
hz tim nimekuwa naziona na sikuzipenda kwan n timu zinazoendeshwa kwa mazoea.
kiufupi zimedumaa kimaendeleo.
karibun AZAM FC new force in the biz.
mwendo mdundo.
na yanga subiri kikwete atoke ndo mtakubari.
AZAM FC 'New Force In The Business'
Makoye umeonaeeeee hao ndo azam sio azania kama we ulivyo zania
unamkuta kijana mdogo anashabikia simba au yanga.
hz tim nimekuwa naziona na sikuzipenda kwan n timu zinazoendeshwa kwa mazoea.
kiufupi zimedumaa kimaendeleo.
karibun AZAM FC new force in the biz.
mwendo mdundo.
na yanga subiri kikwete atoke ndo mtakubari.
AZAM FC 'New Force In The Business'
Jumatano ya leo kwangu ni furaha tupu baada ya yanga kuibomoa vilivyo prisons. Yanga haooooo kuelekea ubingwa.
Mshindi huwa hapatikani isipokuwa mwisho wa mashindano, hadi mwisho mtashuka tu hadi kwenye nafasi yenu mliyoizoea.
acha uongo munchen katwaa ndoo hata mashindano hayajaisha, unachosema wewe kipo kwenye tournament pekee lakini sio ligi
Azam oyeeeee...tuwanyime yeboyebo ubingwa.
wewe ni mamluki, haujawahi na kamwe hautokuwa mwanayanga