Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
YM anamaliza lini muda wa uenyekiti wake ili ligi ibaki ya kushindana viwanjani?
 
Hawa madogo(Javu,Dilunga na Juma Abdul) waliokuwa wanaanzia benchi sasa hv wanapata nafasi za kuanza wanatisha sn.
 
Javu ni striker mzuri sana alikuwa hapati nafasi
 
hongera sana Azam fc kwa ushindi mnonu toka kwa wagosi kwani msimu uliopita mlitufunga na sasa tumewafunga safi sana umony na JB19 na timu yote kwa ujumla..
 
Back
Top Bottom