Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
dakika ya 42 AFC iko nyuma kwa goli 1 zidi ya african lyon goli lilofungwa dkk 10..
 
Mbona umeweka jina la kwanza simba it means simba itakua bingwa ungepanga alphabetically!!!!au wewe ni shabiki wa simba??
 
half time, AFC 0 na Lyon 1..kwa mwendo huu afc itashuka tena
 
Mbona umeweka jina la kwanza simba it means simba itakua bingwa ungepanga alphabetically!!!!au wewe ni shabiki wa simba??
kwasababu ndiyo mbigwa mtetezi na ndiyo inayoongo ligi ikiwa na pointi 27 ikifatiwa na yanga..hata hivyo mimi ni zaidi ya mshabiki wa ssc
 
kwasababu ndiyo mbigwa mtetezi na ndiyo inayoongo ligi ikiwa na pointi 27 ikifatiwa na yanga..hata hivyo mimi ni zaidi ya mshabiki wa ssc
Hongera sana tupo pamoja hivi ni kweli mohamed dewji amerudi kuwa mdhamini wa simba?
 
kagera 2 na azam fc 1, magori yote ya kagera yamefungwa na mwaikimba
 
mnyama
avatar11702_6.gif
 
Mechi kati ya AFC na African Lyon imekwisha kwa African Lyon kufanikiwa kuwafunga wanjanja wa A-Town kwa goli 1 kwa beseni.....
 

Attachments

  • IMG_1696.JPG
    IMG_1696.JPG
    284.6 KB · Views: 239
  • IMG_1697.JPG
    IMG_1697.JPG
    315.1 KB · Views: 249
  • IMG_1686.JPG
    IMG_1686.JPG
    500.7 KB · Views: 259
kagera sugar 1 na Ruvu Shooting 0 goli limefungwa na Mwaikimba kwanjia ya penati baada ya George Michael kumwangusha mshezaji wa Kagera ndani ya box ni dakika ya 7.
 
Ruvu shooting wanapata goli la kwanza kupitia kwa Oscar kwa shuti kali sana...
 
Back
Top Bottom