Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
ingawa naichukia yanga lakini si kwa kushindwa kutangaza magoli yake tatizo ni mgao wa umeme....na nilijua yanga itashinda zaidi ya goli tano angalia hapo juu...AFC ni timu yangu lakini inacheza kama timu ya daraja la nne....pengine yanga kama wange kuwa vizuri nje na ndani ya uwanja mimi na kwambia ungeshanga magoli ambayo AFC ingefungwa...

Hapa unakosea ndugu, Kwanini uichukie Yanga?? Walikuibia mke?? Yanga na Simba sio maadui, ni watani wa jadi, kuchukia timu pinzani sio ushabiki wa kweli ktk soka. Badilika
 
Ivunga bwana! Heheheheh nadhani na wewe unatamani Simba wafunge mtu 6 . . . .teh teh teh. Anyway kuanzia mechi za wabrazil, mapinduzi cup kurudi nyuma kote huko Crashwise hakutangaza kabisa magoli, so siwezi kumuuliza chochote.
labda siyo mfatiliaji wa jukwaa la michezo ya kibongo huwa nipo sana mkuu...
 
Leo ni Simba na Azam FC
azam fc.jpg
Kikosi cha AZAM FC
Simba Sports Club.JPG
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi
 
Thankx mkuu, ninependa kuona siku utawala wa Yanga na simba Tanzania unatokomea kama utawala wa KANU pale Kenya au CCM hapa TZ
mimi ni mpenzi wa wa timu hizi, hivyo nitahuzunika sana kama simba itapoteza mechi hii
 
John Boko anaipatia Azam goli la 3.... daaaaaaaah hii noma sasa
 
Back
Top Bottom