Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Haya mkuu, hivi si ndio wewe ulikuja na tule tutakwimu twako twa yanga na mnyama kabla ya ile mechi??

Simba bingwa, kama hutaki basi!!

soka sio sawa na chaguzi za TZ mkuu...
Hayo mambo ya iwe isiwe yapo CCM
 
Balatanda, Gang Chomba et al,
vipi chama lenu bovu yebo yebo limesalimika kwa Wanalizombe?
 
Azam wanaongoza goli 1 Arusha, Yanga pia wanaongoza goli 1 Dodoma, vipi kuhusu Simba wadau???
 
jamaaani,mbona hakuna matokeo ya Simbaaaa???
 
Nimesikia kuwa Star Tv wataonyesha live ligi kuu ya bara!
 
Hatua ya lala salama ya Ligi Kuu Tanzania bara ilianza tarehe 15 - 01 - 2011 kwenye viwanja mbalimbali nchini kuwania ubingwa wa soka ambao kwa sasa unashikiliwa na Simba.
Timu 12 zinashiriki ligi hiyo kutoka mikoa ya Dar es Salaam yenye timu za Simba, Yanga, Azam, African Lyon, Pwani yenye timu za JKT Ruvu na Ruvu Shooting, Songea yenye timu ya Maji Maji, Mwanza yenye timu ya Toto Africa, Dodoma yenye timu ya Polisi Tanzania, Arusha yenye timu ya AFC, Morogoro yenye timu ya Mtibwa Sugar na Bukoba yenye timu ya Kagera Sugar.

Timu zilifanya usajili katika dirisha dogo, kuimarisha vikosi vyake hivyo huu ndio wakati wa kuangalia uwezo wa wachezaji waliosajiliwa na kuona wanavyo zisaidia timu zao kuchukua ubingwa au kuziokoa kushuka daraja.

Tutakuwa tunajulishana kila mara kinacho endelea kwenye ligi hii mhimu kabisa hapa Bara.
bongo.jpg

 

Attachments

  • ranking.jpg
    ranking.jpg
    37.9 KB · Views: 57
Back
Top Bottom