Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Goli la 2 la Maji Maji limefungwa kwa shuti kali na Betwel....
 
Mchezaji Ulimboka mwakingwe anaonyeshwa kadi nyekundu...
 
Mchezaji mwingine wa Maji maji ameonyeshwa kadi nyekundu ni Evarest Maganga....
 
Shabani nae kaonyeshwa kadi nyekudu ni mchezaji wa tatu kuonyeshwa kadi nyekundu
 
Hasan Dudu anaipatia African Lyon bao la kusawazisha ni dadika ya 66...
 
Dakika ya 43, Davis Mwape ameipatia Yanga goli la tatu baada ya kazi nzuri ya Nurdin Bakari....leo yango wasipo wafunga goli zaidi ya 5 hawa AFC basi yanga ni vibonde...
 
AFC ni timu mbovu sana kuliko timu zote lizoko ligi kuu walianza mazoezi siku 1 kabla ya mechi tofauti na timu kama yanga iliyokuwa kwenye mashindano ya kombe la mapinduzi....
 
mpaka mwisho wa mchezo yanga 6 na afc 1

Na huko manungu Mtibwa 1 na Polisi Tanzania 0
 
Naona "ulifukia" kutangaza magoli mengine ya Yanga teh teh teh
ingawa naichukia yanga lakini si kwa kushindwa kutangaza magoli yake tatizo ni mgao wa umeme....na nilijua yanga itashinda zaidi ya goli tano angalia hapo juu...AFC ni timu yangu lakini inacheza kama timu ya daraja la nne....pengine yanga kama wange kuwa vizuri nje na ndani ya uwanja mimi na kwambia ungeshanga magoli ambayo AFC ingefungwa...
 
walipocheza na kile kitimu cha brazili?
Ivunga bwana! Heheheheh nadhani na wewe unatamani Simba wafunge mtu 6 . . . .teh teh teh. Anyway kuanzia mechi za wabrazil, mapinduzi cup kurudi nyuma kote huko Crashwise hakutangaza kabisa magoli, so siwezi kumuuliza chochote.
 
Back
Top Bottom