Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 448
Moro utd 3-simba 1[/QU Duuuu maweee
Moro utd 3-simba 1[/QU Duuuu maweee
sijui Simba watasingizia nini: Yondani na Basena hawapo, Okwi haonekani, Costa nje, Kazimoto,Mafisango, Bobani na Machaku wameanza tangu dk ya kwanza na Matokeo ni 3 kwa Moro U na 1 kwa Simba.
Simba yetu ina tatizo la beki, Shomari Kapombe anacheza namba mbili, tunajua Cholo ni mgonjwa kwa nini asicheze Salum Kanoni namba mbili?
Mkuu unajua timu inaposhinda huwezi kuona makosa, cha ajabu hata Jabu tulitaka kumwacha sasa Amir ni majeruhi muda mrefu sijui hali ingekuwaje bila Jabu, naamini beki wakijipanga vizuri tunaweza kushinda hii mechi.Hivi ni nini kifanyike: ili kipindi cha pili Simba wasawazishe magoli yote na wafunge goli la ushindi?????
jamani nin kimeisibu hii SIMBA ya leo maana ni ajabu na inashangaza kwani mechi ni dakika ya ngapi?
Mkuu unajua timu inaposhinda huwezi kuona makosa, cha ajabu hata Jabu tulitaka kumwacha sasa Amir ni majeruhi muda mrefu sijui hali ingekuwaje bila Jabu, naamini beki wakijipanga vizuri tunaweza kushinda hii mechi.
Ndo namskia leo, hapa nilipo sina raha mkuu, kweli sisi ni wa kufungwa na moro united goli tatu du kweli mpira hauna adabu.duh! inanipa wasiwasi, huyu Jonas Gerad historia yake ikoje kiuzoefu!! au ameingia tu kusogeza dk tu.
ana kadi 3 za njano pamoja na okwiSimsikii Jerry Santo, huyu mkenya huwa anatuliza sana mashambulizi ya timu pinzani, mliosikia toka mwanzo hebu naombeni line up ya simba.
ana kadi 3 za njano pamoja na okwi