Mambo yanakuwa magumu kwa Simba: ila ni kutokana na uzembe unaofanywa na wachezaji wa Simba; Kapombe kaleta madoido mwishoe kanyanganywa mpira na kuwa gori la pili.
sijui Simba watasingizia nini: Yondani na Basena hawapo, Okwi haonekani, Costa nje, Kazimoto,Mafisango, Bobani na Machaku wameanza tangu dk ya kwanza na Matokeo ni 3 kwa Moro U na 1 kwa Simba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.