Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Mambo yanakuwa magumu kwa Simba: ila ni kutokana na uzembe unaofanywa na wachezaji wa Simba; Kapombe kaleta madoido mwishoe kanyanganywa mpira na kuwa gori la pili.
 
sijui Simba watasingizia nini: Yondani na Basena hawapo, Okwi haonekani, Costa nje, Kazimoto,Mafisango, Bobani na Machaku wameanza tangu dk ya kwanza na Matokeo ni 3 kwa Moro U na 1 kwa Simba.
 
simba 1 moro 3

Duh .. Kwa mwendo huu tutaishia relegation zone (kama walivyokuwa Yanga majuzi).

Hivi inawashinda nini kurecover from only 1-0 defeat? (kama Arsenal & Manchester wameweza baada ya vipigo vya mbwa mwizi)?
 
Simba yetu ina tatizo la beki, Shomari Kapombe anacheza namba mbili, tunajua Cholo ni mgonjwa kwa nini asicheze Salum Kanoni namba mbili?
 
Back
Top Bottom