Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
vp vitoeo,mtatoka leo?maana baba mwenye nyumba *anakuja kwa kasi ya ajabu nyuma yenu,baada ya kuwatanguliza mke na watoto mbele
 
....naona walioko uwanjani hawatupi updates: kupitia Kiss FM ni dk 38 Simba 1 na JKT Ruvu 0 kipindi cha kwanza.
 
vp vitoeo,mtatoka leo?maana baba mwenye nyumba *anakuja kwa kasi ya ajabu nyuma yenu,baada ya kuwatanguliza mke na watoto mbele

ndugu bora we umesema maana mi nijuavyo ckuzote waif ndiye anatangulia kuandaa kila kitu kwa ajili ya bwana yake ndo kama mishikaki kiherehere 2 huko mbele lakin hawalichukui
 
Maswalala, maneno yako hata kwenye khanga yapo: SIMBA 2-JKT Ruvu 0 dk ya 55.
 
Back
Top Bottom