Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Aisee.....

Mwanza refa kaongeza dakika 5....

Halafu wanetu wapo 10 uwanjani lakini hiyo shu'huli yake mmmhhhhh!!!!!
 
Mtani wangu Crashwise upo?....Ama net imekata ghafla..

Mwanza Simba kuondoka na ushindi huwaga ni ngumu sana....Madogo wamekunywa maji ya bendera​....
 
Huku kukamia kwa TOTO kungekuwa hivi siku zote VPL ingekuwa nzuri sana. Tatizo lao wanatukamia siye tuuuuu...!!!! Hovyo kabisa hawa TOTO. Sijui wanalipwa nini hawa?

Full Time: TOTO 3 SIMBA 3
 
Nafurahi sana kuona Idd Moshi Shaban 'Mnyamwezi'(Kakaake Haruna Moshi 'Boban') mchezaji wa zamani wa Yanga na Milambo ya Tabora pamoja na ukongwe wake bado ana kiwango kizuri kabisa...
 
Huku kukamia kwa TOTO kungekuwa hivi siku zote VPL ingekuwa nzuri sana. Tatizo lao wanatukamia siye tuuuuu...!!!! Hovyo kabisa hawa TOTO. Sijui wanalipwa nini hawa?

Full Time: TOTO 3 SIMBA 3

next match utasikia wamepigwa 4 na villa,hawa toto sijui wanatumia nini kufikiri
 
mpira ume kwisha simba 3 na toto 3..hongra simba maana mechi kwetu ilikuwa ngumu kuliko zote ambazo tumeshacheza..
 
Huku kukamia kwa TOTO kungekuwa hivi siku zote VPL ingekuwa nzuri sana. Tatizo lao wanatukamia siye tuuuuu...!!!! Hovyo kabisa hawa TOTO. Sijui wanalipwa nini hawa?

Full Time: TOTO 3 SIMBA 3

Angalau tuna point 1 extra/si haba.
 
Back
Top Bottom